Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Kuna ubaya gani kuwa marafiki na Marekani? Ni vizuri sana tupate misaada ya kuinua hali ya maisha ya watu wetu. Umeshasafiri sehemu za Tanzania ambako hadi sasa watu wanahangaika maji ya kunywa? Ni nyingi.

Asante Marekani kwa misaada yenu. Zingatieni maji, elimu, afya na barabara tafadhali.
Kama wana nia njema watusaidie kulingana na vipaumbele vyetu. Reli ya standard gauge na mradi wa kufua umeme wa bwawa la mwalimu Nyerere (Stiglers George). Kama hawataki na sisi hatutaki kupangiwa!
 
Tanzania inaitaji marekani kulikomarekani inavyoitaji Tanzaniaziwewe
Wewe 9
Tanzania inaitaji marekani kulikomarekani inavyoitaji Tanzania mbuziwewe
Wewe ndio unaihitaji marekani. Tanzania tunamhitaji Mungu atupaye uhai na mvua. Mungu ndiye aliyetuponya na corona ambayo bado inawatesa marekani mpaka leo!!
 
Kwa uandishi wa mleta mada, ilikiwa vigumu sana kwake kutambua waliotoa salamu za pole.

Asamehewe.
Sijamsikia Biden binafsi! Kwa heshima ya rais inategemewa rais atoe rambirambi binafsi na kwa niaba ya nchi yake! Hivi angefariki mkuu wa nchi ya magharibi unadhani balozi tu ndiye angetoa tamko la rambirambi?
 
Usipopambana na corona hio SGR atapanda nani kama wote mkifa kwa corona.Afya kwanza
Hatufi Mungu ametuponya! Ndio maana upo mzima! Marekani wanakufa kwa mamia kila siku, ungekuwa marekani huenda leo usingekuwepo!
 
Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.

Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.

Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
Tanzania bila Marekani inawezekana ila Tanzania bila Mungu haiwezekani! Namshukuru Mungu muda wote huwa a atapanda viongozi wacha Mungu wanaojua kumtanguliza Mungu!
 
Kuna ubaya gani kuwa marafiki na Marekani? Ni vizuri sana tupate misaada ya kuinua hali ya maisha ya watu wetu. Umeshasafiri sehemu za Tanzania ambako hadi sasa watu wanahangaika maji ya kunywa? Ni nyingi.

Asante Marekani kwa misaada yenu. Zingatieni maji, elimu, afya na barabara tafadhali.
Mbona huelew alichokiandika mtoa mada! Umeelewaa ni misaada ipi au umetoka kukojoa tu huko chooni then unakuja kujamba jf!?
 
Kuna nchi zina vita na zenye majanga mbalimbali watu wanakufa kwa njaa ila Marekani katuona sisi ndio wahitaji zaidi wa msaada wake ni mahaba kiasi gani kutoka kwa wapendwa wetu Wamarekani.
Wajinga ni wengi humu,wao wanafikiri mataifa ya ulaya yanatupenda sana,marekani kama anataka kukusaidia,atufutie madeni tuu,sisi corona tulishaipiga bao,
 
Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.

Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.

Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
Nachelea kusema...katika waafrica kumi, saba ni nyani watatu ndio binadam wanaojitambua.
Hivyo bas wewe pia ni mmoja kati ya wale 7 ambao ni nyani..pole sana nyani.
Unasafar ndefu sana kwenye kujikomboa kifikra
 
Jibu swali hiyo PEDI uliyovaa imetoka nchi gani?


Dunia ni kam kijiji hata huyo Magufuli ilibidi afe miaka 10 iliyopita ila hawa wazungu ndio waliomuwekea hiyo betri kwenye moyo wake.

Acheni ubaguzi wa kipumbavu. Hiyo simu unayotumia imetengenezwa CHATO?
Hujaelewa mantiki ya mjhadala! Suala la msingi ni kuwa hatutaki watupangie!! Hatujasema hatuhitajiani la. Ila kuhitajiana si kibali cha kutupangia! We are the sovereign state! We are equal! Wasitushinikize chochote kuhusu corona!! Tutapambana nayo kulingana na mazingira yetu kwa kumtanguliza Mungu.
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Marekani ina raia karibu milioni 350.
Wamechanja chanjo ya corona raia milioni 200,
Kwa kifupi wanaelekea kuutokomeza huo ugonjwa,,
Israel nao wamechanja karibu raia wote milioni 10,nao wimbi la huu ugonjwa liko undercontrol,,
Chanjo zinasaidia
 
Hatufi Mungu ametuponya! Ndio maana upo mzima! Marekani wanakufa kwa mamia kila siku, ungekuwa marekani huenda leo usingekuwepo!
Idadi ya USA ni mara 4 ya Tza hivyo hao mamia ni sawa na makumi kwetu tembelea hospital
 
Nachelea kusema...katika waafrica kumi, saba ni nyani watatu ndio binadam wanaojitambua.
Hivyo bas wewe pia ni mmoja kati ya wale 7 ambao ni nyani..pole sana nyani.
Unasafar ndefu sana kwenye kujikomboa kifikra
Hata hicho kifaa ulichokitumia kuniita nyani kimetengenezwa na mabeberu ulichokiweza ni kuniita nyani.
 
Tanzania bila Marekani inawezekana ila Tanzania bila Mungu haiwezekani! Namshukuru Mungu muda wote huwa a atapanda viongozi wacha Mungu wanaojua kumtanguliza Mungu!
Mungu hatangulizwi kwa maneno, huwezi ukasema kuwa unamtanguliza Mungu huku unatoa amri watu wapigwe risasi, watu wauawe, watu watekwe labda kama ni mungu shetani hapo ni sawa, tunahitaji kiongozi anaemtanguliza Mungu na matendo yake yafanane na matendo ya ki Mungu hapo ndipo Tanzania haiwezekani bila Mungu.
 
Mungu hatangulizwi kwa maneno, huwezi ukasema kuwa unamtanguliza Mungu huku unatoa amri watu wapigwe risasi, watu wauawe, watu watekwe labda kama ni mungu shetani hapo ni sawa, tunahitaji kiongozi anaemtanguliza Mungu na matendo yake yafanane na matendo ya ki Mungu hapo ndipo Tanzania haiwezekani bila Mungu.
Matendo ya ki Mungu ndio yepi hayo?
 
Back
Top Bottom