Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Ujinga wetu na kuaminiswa na baadhi kwamba kuna kuna mabeberu na tunatakiwa tuwe wana ‘Umajumuhi wa Kiafrika’ bila kuangalia hali halisi ya dunia ya kisasa ni shida

Huyo Mwendazake alitumia mbinu za zamani na kutengeneza maadui wa kufikirika tu ( Mabeberu) ili apate umaarufu wa kisiasa na yake mengine yaende kwa mkono wa chuma

Dunia yetu toka zama ni ya ushindani na ukiwa weak utapelekwa tu kuanzia ngazi ya mtu mmoja mpaka Taifa na kama tunataka tuwaepuke hawa so called mabeberu ni mkakati wa muda mrefu sana na labda hata uwe wa siri ( mpaka tuwe imara kusimamia kuanzia mifumo yetu ya siasa, uchumi, tamaduni nk )

Unamchukia beberu hata kusoma mikataba haujui, na bado unaona ufahari kula pesa za umma kama madawa,madawati , mradi wa maji, umeme , bila kusahau unapanda vipandio vyao, unatumia simu zao na unajinasibisha hata kutumia lugha yao achia mbali ujinga wetu wa kujaza watu wa kabila, ndugu na dini tunazotoka eti ndo tunaweza pambana na Beberu na tunataka mpaka tumpangie nini cha kutupa kama msaada

Tuamke wa Afrika tunatakiwa mikakati imara na tuache ubinafsi ndo tunaweza pambana na hawa sijui mabeberu (USA na nchi za magharibi) sio ‘one man show’ ili kupata umaarufu wa kisiasa na kuendeleza ukandamizaji wa raia na kuwa na uhakika wa kula mali zao (wananchi)

Sorry nimejikita zaidi kwenye term ‘Beberu’ kama ulivyo ainisha hayo ya misaada ya korona na sijui SGR wataona wao inavyofaa
Hatuko tayari kuwakabidhi mabeberu rasilimali zetuu. Mabeberu waje kwa adabu hapa kwetuu.
 
Kuna nchi zina vita na zenye majanga mbalimbali watu wanakufa kwa njaa ila Marekani katuona sisi ndio wahitaji zaidi wa msaada wake ni mahaba kiasi gani kutoka kwa wapendwa wetu Wamarekani.
Unaandika kwa kutumia data unazokusanya vijiwe vya kahawa vya mashina ya CCM! Huo ni mshangao, fuatilia kwa makini mambo kabla ya kuandika
 
Unaandika kwa kutumia data unazokusanya vijiwe vya kahawa vya mashina ya CCM! Huo ni mshangao, fuatilia kwa makini mambo kabla ya kuandika
Ndio tuseme wanaochangia humu ni ccm na chadema tu?
 
Mimi nashauri, watupe tu pesa, kila mwananchi na zake, tukale mbuzi choma na mademu zetu
Nalo ni wazo zuri. Shida ile ni hela ya walipa kodi. Wakusanye Marekani hela, mbuzi waliwe Tanzania
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Hivi mkuu KWA akili ya kawaida ,kwamba USA walikua wanaogopa mwendazake, KWA lipi na sababu zipi? Tulia mkuu, USA sio taifa la kushinda hasa na nchi za kiafrika Kama yetu ,wanauwezo wa KUFANYA lolote , Bila shida, na ukachutama,mwendazake uwezo wake ukua tu kuonyesha makucha KWA wale aliowaita wanyonge Basi ,Sio USA Ilikua swala la mda tu, KWA kauli zake kuita watu mabeberu
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Mtazamo wako ni tofauti sana na hali halisi, hakuna taifa au mtu binafsi anahangaika kujileta kusaidia mtu au taifa jingine, hawana muda hata wa kujua kama tunahitaji msaada. Misaada huombwa, na unapoona mtu au Taifa wanatoa msaada fahamu inakua wamekubali ombi lilifanywa na taifa hitaji
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Hizi scenario wakati mwingine hazipasw hata uzitoe public kbs, hii tabia ya kutaka kushindana na mtu ambae anakupa misaada since day one tang Uhuru haina mashiko. Budget yetu bado inawategemea haohao, madawa, ujenz wa miundo mbinu, elimu, afya, almost kila kitu kweny maendeleo. Walishatuzidi sana na kamwe hatuwez wafikia wale wako kweny dunia nyingine kwa kila kitu. Ushauri... Ni kukaa kwa kutulia tupange mashambulizi tusonge mbele.
 
Wewe pamoja na mleta UZI ninakubaliana na nyie but nahisi hujamuelewa mleta UZI though you have a point. Hakatai missada kutoka Marekani, ana question aina ya msaada wanaotaka kupatia, anauliza, why kwenye corona ilihali athali za Corona kwetu sio kubwa kama kwao? Na why now baada ya kifo cha Magufuli? Ndio akapendekeza kama ni msaada, basi upelekwe kwenye SGR kama ambavyo na wewe unapendekeza, is like you guys mnaongea lugha 1 but with different interest
Chukua huu mfano. Mwenzako ana familia ya watoto 200 wewe una mtoto mmoja. Ila mwenzako ana bilioni 10 dollar kwenye account wewe una tsh 20,000.
Mwenzako anauguliwa watoto 5 na kila mtoto ana cost milioni 100 dollar. Wewe una uguliwa na mtoto mmoja na gharama za matibabu ni 100 million dollar.
Kwann mwenzako asiwe na sababu za kukusaidia japokua namba yake ya watoto wagonjwa ni kubwa kuliko yako
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Vipi kuhusu ARVs wasilete?
Unajua serikali inachangia nn kwenye huduma za ustawi kama kuwahudumia watto wa mitaani?
 
Marekani akikusaidia sio lazima awe amekuona masikini kuliko wengine. Anatoa msaada sana kwa Israel, Kenya, Misri n.k. ambako hali sio mbaya. Kimsingi husaidia wale wanaoendana na mtazamo wao duniani. Mtazamo wao hauna ubaya kwetu.

Watu mnalia mitaani hakuna fedha. Mnadhani zitakujaje huko bila FDI na misaada kama hii ya WB, IMF na Marekani? Kwani wametupa CONDITIONS mbaya ili tupate hiyo misaada?

Msaada wowote wa fedha ambao conditions zake zinakubalika kwetu ni vizuri sana kuupokea.
Walete hayo mafaranga.
 
Wewe pamoja na mleta UZI ninakubaliana na nyie but nahisi hujamuelewa mleta UZI though you have a point. Hakatai missada kutoka Marekani, ana question aina ya msaada wanaotaka kupatia, anauliza, why kwenye corona ilihali athali za Corona kwetu sio kubwa kama kwao? Na why now baada ya kifo cha Magufuli? Ndio akapendekeza kama ni msaada, basi upelekwe kwenye SGR kama ambavyo na wewe unapendekeza, is like you guys mnaongea lugha 1 but with different interest
Maisha kwanza. Kwa sasa kipaumbele ni kuokoa maisha, na kupambana na korona. Pia wameanza baada ya Magufuli kufariki kwani Magufuli alishatangaza hakuna korona Tanzania. Sasa watakupa msaada wa kupambana na tatizo hewa?

Tukipona korona tutawakaribisha kwenye SGR. Ila tunajua wao sio mjomba wala baba, itabidi tusaidiane pale mahiataji yetu yanaoana na national interest za Marekani.
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Huna point ya Msingi
Wewe ni mpiga kelele kama wengine tu
 
Ninakubaliana na wewe kuhusu wao ndio kuwa wachaguzi wa wapi panapohitaji msaada.

Haya makosa yamefanyika miaka mingi ya hawa watu kuleta vimisaada vyao visivyolenga kutatua matatizo yetu, bali kuwanufaisha wao zaidi.
Wewe ni mfano wa wasomi wajinga wanaodhani Marekani inawaonea wivu Tanzania.

Hapo ulipo hata hiyo PEDI uliyovaa imetoka kwa hao wazungu. Simu unayotumia kuwatukana imetengenezwa CHATO?

ACHENI MAWAZO YA MIAKA YA 60 DUNIA YA SASA TUNATEGEMEANA.
 
Kama nimekosea nisahihisheni. Serikali ya Marekani haijatoa rambirambi rasmi kwetu kufuatia kifo Cha Rais Magufuli.

Lakini Marekani inajisogeza Sana kwa mama wakidai kutaka kutupa 'misaada' ya kupambanana korona. Tusiwaonee aibu! Tuwaambie hatuhitaji msaada wa kupambana na korona! Kama Wana Nia ya kutupa msaada watupe pesa zitusaidie kumalizia SGR na mradi wa Stigler's George.

Wakapambane na korona huko kwao maana wao tatizo Ni kubwa kuliko kwetu! Hawa mabeberu hawana aibu.
Umesahau ule msaada wa elimu mliomshambulia Zzk mkataka hata kumuua? Ulitoka USA
Hatujasahau zile b28 zisizo na document zozote,, zilitoka EU

Usijifanye umepoteza ubongo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania bila Magufuli inawezekana, Tanzania bila Marekani na wengine walioitwa na jiwe kuwa ni mabeberu haiwezekani,na maisha bila wao hayapo.

Kila kitu kilichotumiwa na Jiwe kuwaponda kuanzia kipaza sauti alichokuwa anakitumia kilitengenezwa na wao, vyombo vyote vilivyokuwa vinatumika kurusha maneno ya jiwe kuwaponda vimetengenezwa na wao.

Magari,ndege,barabara zinazotengenezwa, madawa na vifaa vyote vilivyotumika kunusuru uhai wa jiwe vimetengenezwa na wao, kasolo mwili na mdomo unaotumika kuwananga ndio umeumbwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom