J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,061
- 2,541
Mwanandani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. (kabila lake).
Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea yeye Wala kwenye harusi hakuja japo alikuwepo na alikuwa ni mwenye afya tu.
Mwandani akatamka NENO hili na kuliwekea msisitizo ambao sikumjibu lakini limenikaa kichwani nikaona nishirikishe jukwaa ambalo najua Kuna wenye msaada na hekima na wapumbavu pia. Kuwa siku "akitangulia mbele ya haki kabla ya baba yake mzazi, baba yake ndio atoe maamuzi ya yeye kwenda kuzikwa akasisitiza tena kuwa ikiwa maneno yake ie. mke hayatatekelezwa basi nitajilaumu sana maishani ni kana kwamba nitapata matatizo" kwa kwenda kinyume na matakwa ya marehemu.
Sasa wadau naombeni ushauri hapa Ina maana mimi Sina maamuzi juu yake pamoja na kumlisha na kumtunza kote?. Au ni mtunzaji akiwa hai akifa Sina langu?. Vipi Mimi nikitangulia atawapoteza wanangu wasijue kabisa asili ya baba Yao Wala shangazi, baba wakubwa na wadogo upande wangu?. Anamaanisha Nini?. Au INAMAANISHA Nini hii?.
Naombeni mawazo wadau.
Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea yeye Wala kwenye harusi hakuja japo alikuwepo na alikuwa ni mwenye afya tu.
Mwandani akatamka NENO hili na kuliwekea msisitizo ambao sikumjibu lakini limenikaa kichwani nikaona nishirikishe jukwaa ambalo najua Kuna wenye msaada na hekima na wapumbavu pia. Kuwa siku "akitangulia mbele ya haki kabla ya baba yake mzazi, baba yake ndio atoe maamuzi ya yeye kwenda kuzikwa akasisitiza tena kuwa ikiwa maneno yake ie. mke hayatatekelezwa basi nitajilaumu sana maishani ni kana kwamba nitapata matatizo" kwa kwenda kinyume na matakwa ya marehemu.
Sasa wadau naombeni ushauri hapa Ina maana mimi Sina maamuzi juu yake pamoja na kumlisha na kumtunza kote?. Au ni mtunzaji akiwa hai akifa Sina langu?. Vipi Mimi nikitangulia atawapoteza wanangu wasijue kabisa asili ya baba Yao Wala shangazi, baba wakubwa na wadogo upande wangu?. Anamaanisha Nini?. Au INAMAANISHA Nini hii?.
Naombeni mawazo wadau.