Hii kauli inamaanisha nini wadau?

Hii kauli inamaanisha nini wadau?

J C

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2013
Posts
3,061
Reaction score
2,541
Mwanandani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. (kabila lake).

Sasa Jana ghafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea yeye Wala kwenye harusi hakuja japo alikuwepo na alikuwa ni mwenye afya tu.

Mwandani akatamka NENO hili na kuliwekea msisitizo ambao sikumjibu lakini limenikaa kichwani nikaona nishirikishe jukwaa ambalo najua Kuna wenye msaada na hekima na wapumbavu pia. Kuwa siku "akitangulia mbele ya haki kabla ya baba yake mzazi, baba yake ndio atoe maamuzi ya yeye kwenda kuzikwa akasisitiza tena kuwa ikiwa maneno yake ie. mke hayatatekelezwa basi nitajilaumu sana maishani ni kana kwamba nitapata matatizo" kwa kwenda kinyume na matakwa ya marehemu.

Sasa wadau naombeni ushauri hapa Ina maana mimi Sina maamuzi juu yake pamoja na kumlisha na kumtunza kote?. Au ni mtunzaji akiwa hai akifa Sina langu?. Vipi Mimi nikitangulia atawapoteza wanangu wasijue kabisa asili ya baba Yao Wala shangazi, baba wakubwa na wadogo upande wangu?. Anamaanisha Nini?. Au INAMAANISHA Nini hii?.

Naombeni mawazo wadau.
 
Mwana ndani wangu wa kike amekuwa na tabia kuvutia mambo kwao mathalani kuwafundisha watoto tamaduni za kwao ikiwemo lugha na kusifia mambo mengi ya kwao. ( kabila lake).

Sasa Jana gafla akaanza kumuongelea baba yake mzazi kiufupi siye aliyemlea alimzaa tu wakalea wengine hata MAHARI hakupokea yeye Wala kwenye harusi hakuja japo alikuwepo na alikuwa ni mwenye afya tu. Mwandani akatamka NENO hili na kuliwekea msisitizo ambao sikumjibu lakini limenikaa kichwani nikaona nishirikishe jukwaa ambalo najua Kuna wenye msaada na hekima na wapumbavu pia. Kuwa siku "akitangulia mbele ya haki kabla ya baba yake mzazi, baba yake ndio atoe maamuzi ya yeye kwenda kuzikwa akasisitiza Tena kuwa ikiwa maneno yake ie. mke hayatatekelezwa basi nitajilaumu sana maishani ni kana kwamba nitapata matatizo" kwa kwenda kinyume na matakwa ya marehemu. Sasa wadau naombeni ushauri hapa Ina maana Mimi Sina maamuzi juu yake pamoja na kumlisha na kumtunza kote?. Au nimtunzaji akiwa hai akifa Sina langu?. Vipi Mimi nikitangulia atawapoteza wanangu wasijue kabisa asili ya baba Yao Wala shangazi, baba wakubwa na wadogo upande wangu?. Anamaanisha Nini?. Au INAMAANISHA Nini hii?. Naombeni mawazo wadau.
Umeleta uzi wenye vitu viwili ambavyo nashindwa kuvipatia muunganiko, unataka tujadili vita ya Russina na Ukraine na uzinduzi wa SGR Tanzania vinavyoathili maisha na maendeleo ya awasomali. It’s obvious haupo sawa.
 
Sababu kuu ya Mkeo kufanya yote hayo ni wewe,

Ulimlegezea toka mwanzo,hukusimama kama Mwanaume na msimamizi wa familia yako,

Sasa mkeo anaposema usipofuata maagizo yake ya kuzikwa utapata tabu,hujui kua wewe kupata tabu ndio kupata tabu watoto wake pia?

Itisha kikao cha dharura cha pande zote mbili,kwao na kwenu,elezea matatizo yote,asipotaka kubadilika piga chini,japo nina uhakika huyo hawezi kubadilika,

Kwa muda huu,usimpe siri zako zote,jiwekee akiba ambayo yeye atakua haijui,walee wanao kwa upendo,wanao watakuja tu kukumbuka malezi uliyowapa,haijalishi Mama yao atawapa maneno gani,

Kwa kumalizia tu,Mkuu mke huna,sio vibaya kuanza upya,Life is too short,usiishi maisha ya kujitesa,

Life the life u love
Love the life u live.
 
Wanasemaga wanawake wakitafuta Mali na waume zao zikipatikana Huwa tunawaza kuwa single 😀

Kuna baadhi ya wanawake ninaowafahamu Wana nyumba viwanja ambayo waume zao hawajui kabisa unashnagaa mke anakudharau kumbe amekuzid kilakitu mkiwa hapo kwenye nyumba ya kupanga 😂😂😂😂
Mapenzi kwisha kabisa , hapo mapenzi yamehamishwa kweny mali na watoto .
 
Ni kama Nimekuelewa mkuu.
Haina shida mkuu....,mwambie aandikie kbisa maelezo na ikiwezekana akupe nakala moja wewe nyingine apeleke kwa huyo babaake...
 
Back
Top Bottom