Kwani limetumiwa na afisa habari gani zaidi ya wa michezoni?Inasikitisha mno. Mie simaanishi michezo hapa kwani si pahala pake. Mie nimetahadharisha neno vita kulitumia wakati nchi yetu ni ya amani si jambo jema.
Acha usengWakuu, maneno huumba. Hivi karibuni pana hii kauli mbiu ya kuufanya mchezo wa soka ni vita.
Soka ni soka tu na vita ni vita tu sasa hawa wanaotupeleka kwenye vita badala ya soka wana lao jambo.
Nchi zilizopigana vita raia wao hawataki kulisikia neno hili, Sisi tunalitumia kama njugu.
Nimesoma kuwa msemaji wa serikali kakemea maafisa wa habari kusema porojo badala ya kufuata taaluma ya habari. Wito wangu na hili alikemee pia.
Jf ni worldwide sasa unavyosema asubuhi yote unadhani kila mtu yupo sehemu ambayo ni asubuhi?Ndiyo maana sishabikii mpira wa Tanzania asubuhi yote hii mtu anaanzisha mada kama hii kweli?
Simple logic inabidi ikumaanishie kwamba kama wewe ulipo siyo asubuhi hiyo inamaanisha hauhusikiJf ni worldwide sasa unavyosema asubuhi yote unadhani kila mtu yupo sehemu ambayo ni asubuhi?
Kuna watu mna fikra za ovyo!! Hivi bado mnaamini eti jambo likiongelewa sana linatokea kweli?Mungu atuepushie mbali.
Yawezekana pana watu wanataka vita itokee kweli.
kwa hyo hapa sio pahala pa michezo,, Haya kalale sasaInasikitisha mno. Mie simaanishi michezo hapa kwani si pahala pake. Mie nimetahadharisha neno vita kulitumia wakati nchi yetu ni ya amani si jambo jema.
Mini ni shabiki damu wa Yanga lakini kwenye hili Simba wanastahili pongezii huu msemo wa War In Dar unaamsha midadi ya wachezaji,technical.. mashabikiWakuu, maneno huumba. Hivi karibuni pana hii kauli mbiu ya kuufanya mchezo wa soka ni vita.
Soka ni soka tu na vita ni vita tu sasa hawa wanaotupeleka kwenye vita badala ya soka wana lao jambo.
Nchi zilizopigana vita raia wao hawataki kulisikia neno hili, Sisi tunalitumia kama njugu.
Nimesoma kuwa msemaji wa serikali kakemea maafisa wa habari kusema porojo badala ya kufuata taaluma ya habari. Wito wangu na hili alikemee pia.
Nonsense. Huna hoja wewe.Inasikitisha mno. Mie simaanishi michezo hapa kwani si pahala pake. Mie nimetahadharisha neno vita kulitumia wakati nchi yetu ni ya amani si jambo jema.