Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alhaly ni dhaifu?5imba dhaifu
Inawezekana Alhaly ni Dhaifu lkn Simba ni mbovuAlhaly ni dhaifu?
Alhaly ni dhaifu?
Kuna shabiki wa Ihefu hapa anasema Yanga ni dhaifu, jee unakubaliana naye?Ndio
Yaah,Yanga haijawahi kudharau mechi.Mkuu una uhakika kwa Asec yanga atashinda?
Kuna shabiki wa Ihefu hapa anasema Yanga ni dhaifu, jee unakubaliana naye?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wakati Simba anapambana na Ahly kwenye Super League ndio Utopwinyo mlisema hayo. Mmeeeenda kule Majuzi na ujinga huo mkakojozwa Kimoko mmerudi Dar mmeloa sjui hata mmerudi au bado mko huko huko Kutazama Pyramids.Siwezi hamia Simba
Mimi ni Yanga dam dam
Nasikitishwa na hii mentally tuliyo nayo
Mfano hapa kuna watu wanaamini Asec dhaifu
Tukija kukutana nayo matokeo yakiwa tofauti tunasema Asec ngumu
Lakini tupo nao robo huku
Asipokuelewa basi tenaUmeandika kinyume sana na uhalisia.
Tokea msimu uliopita Yanga ndiye anayezungumzwa ni timu mbovu
Kila mechi anayoshinda kwenye kombe la shirikisho, wanasema kamfunga kibinde.
Yanga kacheza fainali ya kombe la shirikisho lakini mashabiki wa Simba wanaimba wimbo mmoja kuwa hayo mashindano ni ya timu mbovu klabu bingwa ndio kuna wanaume.
Yanga msimu huu anacheza na Asas alivyoshinda, tukasikia kuwa umewafunga hao vibonde ila Al Mereikh hamchomoki.
Yanga akafuzu makundi, ile droo inafanyika kila mtu alisema kuwa Yanga hatoboi kwa ubovu alionao na timu alizopangiwa nao basi wategemee kuwa wa mwisho kwenye kundi. Ila hao Yanga wamesonga mbele, na kuonesha kufika kwao fainali msimu uliopita sio kwa kubahatisha na sio kwa kuwa walikutana na timu mbovu bali walikuwa na ubora