Hii kauli "Simba dhaifu" inatugharimu sana Yanga

Mada za hivi ndizo zinapaswa kuwepo jukwaani
Ukweli ni kwamba Simba ni timu yenye uwezo mkubwa tu dharau za baadhi ya wanayanga ni upungufu wa hekima au ushahidi kuwa watz wengi vichaa
 
Reactions: BRN
Mada za hivi ndizo zinapaswa kuwepo jukwaani
Ukweli ni kwamba Simba ni timu yenye uwezo mkubwa tu dharau za baadhi ya wanayanga ni upungufu wa hekima au ushahidi kuwa watz wengi vichaa
Kabisa mkuu
 
Reactions: BRN
Hizi kauli ni zetu mashabiki mkuu sio za wachezaji na benchi la ufundi.

Ni sawa na ile Pacome day, watu walisema tumewekeza kwenye PDay badala ya kujiandaa, mwishowe mtu akala 4.
 
Hoja yako ni msingi sana kuhusu kutomdhara Opponent yeyote, lakin hoja yako haibadili maana ya Simba kudhoofika kiwango hivi sasa
 
Ntia maada jijibu mwenyewe, kati ya wale wapinzani wa Yanga robo fainali nani ana afadhali kidogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…