Muda utaongezwa.Naomba kueleweshwa kidogo kuhusiana na hili, hivi ikitokea tumepigwa goli 3 bila kule, si ndo tunaenda kwa faida ya goli la ugenini au inakuaje ??
Si ni kama Ile ya jwaneng Galaxy, mzani ulisoma 3-3 wao wakaenda ..Muda utaongezwa.
Jana tulikosa umakini tu ila hakukua na element ya dharau kabisa. Wachezaji walipambana sana.Ndio maana jana nilisema, wale kenge walitakiwa kufa si chini ya 5, shida ya simba wana kadharau fulani wakati mwingine, ama umakini pale mbele unakuwa mdogo.
Ile ilikuwa tofauti... Wao walitufunga nyingi kwetu, kama tungeshinda 2-0 kwetu kisha kwao wakashinda 3-1 hapo aggregate ni 3-3, simba angeenda kwa faida ya goli la ugenini..Si ni kama Ile ya jwaneng Galaxy, mzani ulisoma 3-3 wao wakaenda ..
Tuombe dua wasipindue meza kibabe.Jana tulikosa umakini tu ila hakukua na element ya dharau kabisa. Wachezaji walipambana sana.
Red Arrows washaelekea kibla tayari wale
Kwa Simba hii, mishare myekundu lazima wakae.Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.
"Hali ya hewa ilikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"
NB:Simba waanze mkakati wa kujipanga magoli yasirudi , benchi la ufundi ijipange mapema kuhusu hiyo kauli maana inaonyesha tutafanyiwa ngojera.
Wachezaji wa Simba sidhani kama hawatakua wamejifunza... Ile ya UD Songo ilikua rasha rasha, Galaxy lilikua darasa tosha kuwafunda.Tuombe dua wasipindue meza kibabe.
Simba wamshitaki CAF kwani ni kiashiria cha kupanga matokeo na pia ni tuhuma kwa CAF wanaopanga hao waamuzi.Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.
"Hali ya hewa ilikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"
NB:Simba waanze mkakati wa kujipanga magoli yasirudi , benchi la ufundi ijipange mapema kuhusu hiyo kauli maana inaonyesha tutafanyiwa ngojera.
Kuna hatari mtu akala 4 g kuleNdio maana jana nilisema, wale kenge walitakiwa kufa si chini ya 5, shida ya simba wana kadharau fulani wakati mwingine, ama umakini pale mbele unakuwa mdogo.
Ukubwa hauzungumzwi unaonekana kwa macho.huwezi kusikia Al ahl wakisema sisi ni timu kubwa utajionea Mwenyewe..Wanasimba wapo kwenye kikao chao hapa cha kiutuuzima wanajadili.
Hii ndo maana ya Simba kuwa timu kubwa Tanzania kushinda timu zingine.
Unataka kusemaje labdaUkubwa hauzungumzwi unaonekana kwa macho.huwezi kusikia Al ahl wakisema sisi ni timu kubwa utajionea Mwenyewe..
Tukipata goli la ugenini kule watapata wakati mgumu ,ila 3-0 tunaenda extra ,2-0 tunapita . Ni kufanya juu chini Simba wapate draw yoyoteNaomba kueleweshwa kidogo kuhusiana na hili, hivi ikitokea tumepigwa goli 3 bila kule, si ndo tunaenda kwa faida ya goli la ugenini au inakuaje ??
Hii habari umeifupisha sana, kasema hata kabla ya mechi walifanya kautafiti kadogo kupitia zao walio Uganda na wakaambiwa kile kile kilichotokea uwanjani (matokeo ya mchongo).Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.
"Hali ya hewa haikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"..