Hii kauli ya kocha wa Red Arrows ina maana gani?

Hii kauli ya kocha wa Red Arrows ina maana gani?

Hii habari umeifupisha sana, kasema hata kabla ya mechi walifanya kautafiti kadogo kupitia zao walio Uganda na wakaambiwa kile kile kilichotokea uwanjani (matokeo ya mchongo).

Sasa kasema mechi ya marudiano refa anatoka ukanda wao na wanaweza kufanya kinacholalamikiwa na zaidi. Pia kasema angalau wengefungwa na timu nzuri asingelalamika, ila amefungwa na timu yenye mchezaji mmoja (Morrison ) huku refa akiwa man of the match.
When you're ignorant, nonesense makes perfect sense.

Utopolo ktk ubora wako. Endelea kujifariji labda stress zitaisha. Ukitaka kufa tu lkn ndiyo tunaelekea kukubeba tena mwakani,uende tena ukaruke ruke urudi na visingizio.

This is Simba, One team One dream.
 
When you're ignorant, nonesense makes perfect sense.

Utopolo ktk ubora wako. Endelea kujifariji labda stress zitaisha. Ukitaka kufa tu lkn ndiyo tunaelekea kukubeba tena mwakani,uende tena ukaruke ruke urudi na visingizio.

This is Simba, One team One dream.
Another pyschiatric case.
 
Naomba kueleweshwa kidogo kuhusiana na hili, hivi ikitokea tumepigwa goli 3 bila kule, si ndo tunaenda kwa faida ya goli la ugenini au inakuaje?
Tukifungwa 3 bila hapo goli la ugenini litakuwa lipi?
 
Baada ya mechi kwisha alihojiwa akasema.

"Hali ya hewa haikuwa nzuri Ila maamuzi ya refa yalitugharimu kwakuwa alitoka ukanda huu,tutarudiana na pia refa atatoka ukanda wetu"

NB: Simba waanze mkakati wa kujipanga magoli yasirudi , benchi la ufundi ijipange mapema kuhusu hiyo kauli maana inaonyesha tutafanyiwa ngojera.
Manake Makolo watachwapwa balaa
 
Back
Top Bottom