Nikiwa X leo nimekutana na video clip ya the late Magufuli akimuongelea mtu ambaye alimuita kama "Mpiga Kelele" ambaye kwa maneno yake alikuwa ni adui wa serikali kwenye vita ya kiuchumi na kwamba at some point serikali ili-trap simu ya adui huyo na baada ya kutrap walikuta adui huyo anaandika meseji Mwanyika.
“Yupo mmoja mpigaji kelele kweli. tulipojaribu ku trap zile simu zake kila siku anaandika meseji hadi kwa Mwanyika. Nataka data hii, tulipopata print out that's the government”
Aliongeza kwa kusema:
Vita ya uchumi ni mbaya kuliko ya kawaida. Vita ya kawaida adui unamwona. Sasa nyingine msaliti anapowasaliti kwenye vita ya kawaida maaskari huwa wanajua wanafanya nini
Nikiwa X leo nimekutana na video clip ya the late Magufuli akimuongelea mtu ambaye alimuita kama "Mpiga Kelele" ambaye kwa maneno yake alikuwa ni adui wa serikali kwenye vita ya kiuchumi na kwamba at some point serikali ili-trap simu ya adui huyo na baada ya kutrap walikuta adui huyo anaandika meseji Mwanyika.
“Yupo mmoja mpigaji kelele kweli. tulipojaribu ku trap zile simu zake kila siku anaandika meseji hadi kwa Mwanyika. Nataka data hii, tulipopata print out that's the government”
Aliongeza kwa kusema:
Vita ya uchumi ni mbaya kuliko ya kawaida. Vita ya kawaida adui unamwona. Sasa nyingine msaliti anapowasaliti kwenye vita ya kawaida maaskari huwa wanajua wanafanya nini
Ivi kuna mtu mwenye akili timamu bado anaumiza kichwa kumjua huyu Muuwaji wa Lissu?? miaka 7 hii bado unajiuliza Aisee mbona iko wazi kabisa toka kipindi kile
Nikiwa X leo nimekutana na video clip ya the late Magufuli akimuongelea mtu ambaye alimuita kama "Mpiga Kelele" ambaye kwa maneno yake alikuwa ni adui wa serikali kwenye vita ya kiuchumi na kwamba at some point serikali ili-trap simu ya adui huyo na baada ya kutrap walikuta adui huyo anaandika meseji Mwanyika.
“Yupo mmoja mpigaji kelele kweli. tulipojaribu ku trap zile simu zake kila siku anaandika meseji hadi kwa Mwanyika. Nataka data hii, tulipopata print out that's the government”
Aliongeza kwa kusema:
Vita ya uchumi ni mbaya kuliko ya kawaida. Vita ya kawaida adui unamwona. Sasa nyingine msaliti anapowasaliti kwenye vita ya kawaida maaskari huwa wanajua wanafanya nini
Nikiwa X leo nimekutana na video clip ya the late Magufuli akimuongelea mtu ambaye alimuita kama "Mpiga Kelele" ambaye kwa maneno yake alikuwa ni adui wa serikali kwenye vita ya kiuchumi na kwamba at some point serikali ili-trap simu ya adui huyo na baada ya kutrap walikuta adui huyo anaandika meseji Mwanyika.
“Yupo mmoja mpigaji kelele kweli. tulipojaribu ku trap zile simu zake kila siku anaandika meseji hadi kwa Mwanyika. Nataka data hii, tulipopata print out that's the government”
Aliongeza kwa kusema:
Vita ya uchumi ni mbaya kuliko ya kawaida. Vita ya kawaida adui unamwona. Sasa nyingine msaliti anapowasaliti kwenye vita ya kawaida maaskari huwa wanajua wanafanya nini
Hata Adolf Hitler watu bado wanaendelea kumkumbuka hadi leo hii. Hata Benito Mussolini watu bado wanaendelea kumkumbuka hadi leo hii. Kwa nini wewe unaona haifai sisi kuendelea kumkumbuka huyo mtu wako?
Kauli za mtu jasiri asiye na haya mbele za wasaliti
Hata Lissu ikitokea kwenye utawala wake akafahamu kuwa kunaanaye saliti taifa kwenye mipango yake kabambe kuelekea kulivusha Taifa kwenye ubeberu, atatwanga mtu Risasi
Hata ningekuwa mimi na ama yeyote humu
Tusidanyane, msaliti mmoja kwenye watu zaidi ya m.20 aishi kwa sababu ipi sasa?
Kauli za mtu jasiri asiye na haya mbele za wasaliti
Hata Lissu ikitokea kwenye utawala wake akafahamu kuwa kunaanaye saliti taifa kwenye mipango yake kabambe kuelekea kulivusha Taifa kwenye ubeberu, atatwanga mtu Risasi