Hii kisbo kutoka Mwanza to Dar kwa hakika labisa jaina mpinzani inafunika mbaya

Ni kweli tunatangulizana na Darlux mkuu na yenyewe Leo imejitahidi kutoboa abiria wengi wanaishangaa maana Darlux kutoboa sio jambo la kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww sio mfuatiliaji wa mabasi. Dar sikku hizi kila siku siku zinatoboa. Na kuja Mwanza leo zinatoboa basi 2 tu. Dar lux na Ally's zingine zote shy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisbo nilizowahi panda kabla ya ujio wa VTS ni Diplomat, Presidential kwa sasa Compassion na Jaguar. Hiyo presidential ilikuwa ni ultimate time keeper, Mwanza -Dar hakukuwa na wa kuizidi. Nowadays napanda chinese buses kwa sana.
 
tangu nianze kusafir dar-mwanza,shinyanga na kinyume chake sijawahi lala njiani Mabus ni kisbo,kibo,kidia one,Ally's,dar lux
 
Sorry, na sie tunaotumia Airbus 300 comments zetu zina fiti kwenye huu uzi?
 
Mabasi ya dar to mwanza, mfano Dar lux, Kisesa, Kisbo linaingia Msamvu? Kama yanaingia ni saa ngapi yakua yanaingia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yanaingia ndiyo, kama ni kutoka Dar wanaingia kuanzia saa tatu na dakika zake... Kutoka mwanza bus la kwanza likijitahidi sana saa tatu kasoro hivi usiku linakua msamvu... Ila mengi yanaingia saa nne kasoro hivi.. Ikifika saa 4kamili hawaruhusiwi tena kuendelea na safari.
 
Mara ya mwisho kusafiri january, kisbo iliingia msamvu around moja na nusu hivi.
 
Kisbo tatzo lao baadhi ya ma bus yao ni chakavu sana kwa ndani
Seat zimeng'oka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…