silas maswe
Member
- Jul 28, 2015
- 96
- 130
Ww sio mfuatiliaji wa mabasi. Dar sikku hizi kila siku siku zinatoboa. Na kuja Mwanza leo zinatoboa basi 2 tu. Dar lux na Ally's zingine zote shyNi kweli tunatangulizana na Darlux mkuu na yenyewe Leo imejitahidi kutoboa abiria wengi wanaishangaa maana Darlux kutoboa sio jambo la kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app