Hii kitu hapa chini haina urafiki?!

Hii kitu hapa chini haina urafiki?!

Kwanza Visent unafikiri hata huyo jamaa huko chini atashtuka wakati mifuko ni mitupuu?
:humble:
 
Dah naona vipaji vimejaa vya mazungumzo ya hapo chini!

Yes. Sasa jamaa hapo juu anasema bila cent hakustuki. Ila sasa huku vijijini watu wanakaa miezi miwili hawajashika mia. Lakini wako moto sana. Sijui hii ikoje?
 
Back
Top Bottom