M marianakir New Member Joined Feb 18, 2010 Posts 4 Reaction score 0 Jul 19, 2010 #21 Kwanza Visent unafikiri hata huyo jamaa huko chini atashtuka wakati mifuko ni mitupuu? :humble:
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,288 Jul 19, 2010 #22 Kanyfu Nimekukubali
K Kanyafu Nkanwa JF-Expert Member Joined Jul 8, 2010 Posts 850 Reaction score 103 Jul 19, 2010 Thread starter #23 marianakir said: ahhh wee acha hayo. pesa ni muhimu. bila pesa mfukoni hiyo kitu inakenda likizo kabisa Click to expand... Vijijini ambako hakuna pesa au watu hawana pesa kihivyo, hiyo kitu hapo chini yako ndo iko busy mbaya!.
marianakir said: ahhh wee acha hayo. pesa ni muhimu. bila pesa mfukoni hiyo kitu inakenda likizo kabisa Click to expand... Vijijini ambako hakuna pesa au watu hawana pesa kihivyo, hiyo kitu hapo chini yako ndo iko busy mbaya!.
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,153 Reaction score 2,647 Jul 21, 2010 #24 Dah naona vipaji vimejaa vya mazungumzo ya hapo chini!
K Kanyafu Nkanwa JF-Expert Member Joined Jul 8, 2010 Posts 850 Reaction score 103 Jul 22, 2010 Thread starter #25 Papa Mopao said: Dah naona vipaji vimejaa vya mazungumzo ya hapo chini! Click to expand... Yes. Sasa jamaa hapo juu anasema bila cent hakustuki. Ila sasa huku vijijini watu wanakaa miezi miwili hawajashika mia. Lakini wako moto sana. Sijui hii ikoje?
Papa Mopao said: Dah naona vipaji vimejaa vya mazungumzo ya hapo chini! Click to expand... Yes. Sasa jamaa hapo juu anasema bila cent hakustuki. Ila sasa huku vijijini watu wanakaa miezi miwili hawajashika mia. Lakini wako moto sana. Sijui hii ikoje?
Zasasule JF-Expert Member Joined Aug 12, 2009 Posts 1,001 Reaction score 103 Oct 18, 2010 #26 very funny