Hii kitu imekaaje ndugu zangu .....?

Hii kitu imekaaje ndugu zangu .....?

k-star

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
541
Reaction score
388
Ni kawaida ya binadamu kuogopa wanyama hatari kama vile Simba, Nyoka, Chui n:k. Lakini hili limenishangaza zaidi na zaidi kuwa ukikutana na CHATU hutakiwi kumpiga. Na endapo utampiga na kumuua basi jamii nzima inakutenga na kama utamtupa barabarani basi hiyo njia watu hawatapita kabisa. Mwenye kujua hili ebu funguka hapo karibuni.
 
Hiyo ni jamii gani unayoiongelea ambayo 'CHATU' hatakiwi kupigwa???
 
Back
Top Bottom