Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corona ya kwanza sitaisahau.. Nilipiga pesa za kufuru na kula bata kumzidi makoondaUmenikumbusha mbali sana
Corona hiii....acha tu
Afu hata kunitafuta ukashindwa shemeji.Corona ya kwanza sitaisahau.. Nilipiga pesa za kufuru na kula bata kumzidi makoonda
Duh, mama yangu mdogo katutoka, tutazika jumatatuUmenikumbusha mbali sana
Corona hiii....acha tu
Hii ndio nini sasa?? 😬😬😬Miaka ya hii kitu sidhani Kama itapatikana tena bongo hiiView attachment 1883899
umbali nao umechangia...[emoji374][emoji19]ni kweli kabisa shee ila usijali there is always next timeAfu hata kunitafuta ukashindwa shemeji.
Ujue tumetoka mbali sana....basi tu, umbali nao umechangia.
Sawa shemela.umbali nao umechangia...[emoji374][emoji19]ni kweli kabisa shee ila usijali there is always next time
Poleni sanaDuh, mama yangu mdogo katutoka, tutazika jumatatu
Pole sana.. Hivi vifo tusiponkuwa na subira uvumilivu hakika tutatoka relini..Duh, mama yangu mdogo katutoka, tutazika jumatatu
Drive in sinema, vipi huko denmark zilishapotea?Hii ndio nini sasa?? 😬😬😬
Na hivyo vijiti ni vyaniniMiaka ya hii kitu sidhani Kama itapatikana tena bongo hiiView attachment 1883899