Ndo maana nikaenda hatua moja mbele na kuingia kwenye tovuti za makampuni husika. Na website zote zika-prove theory yangu.Kama unakiamini kikokotoo cha Tra basi , tunaweza tusielewane
Kuna gari zimepewa value isiyo yake hapo , wewe mwenyewe pale juu ulisema bei ya maybach gls ilikuwa 163000 usd , hapa kwa msaada wa kikokotoo unasema gls hiyo hiyo ni 186000 usd .yani maybach ni ghali zaidi ikiwa Tanzania kuliko ikiwa Ulaya .
Bei za magari huwa hazibadiliki.I think to compare gari ya 2020 na gari ya 2021 si sahihi kabisa-Unless tulinganishe GLS ya 2021 na Landcruiser ya 2021(kama ipo) ita make sense
Sijui ni wapi nilisema kodi inapigwa mara mbili , ila kuna scenario uliisema nikakwambia kuwa hiyo inaweza ku attract double taxation kitu ambacho sio sahihi.Hakuna kitu kama hiko duniani.
Gari ikizinduliwa inawekwa na bei halisi bila kodi wala options.
Mf. Mtu wa Congo akitaka Toyota brand new anapewa bei pamoja na kodi ya nchini kwake. Hata kama ni Toyota Tz ndo walimsaidia kuileta. Huwezi kuta unapigwa kodi ya Tz wakati destination ya gari ni Congo.
Ukienda Cfao au Noble motors unapewa atleast miezi 6 usubiri gari yako itengenezwe ndo uletewe. Hawaendi chukua kwa dealership za nchi nyingine.
Unapotosha unaposema kodi inapigwa mara 2. Sio kweli.
😂😂 Ata mm nimejiuliza hvyo hvyo ni kheri angechukua picha za mtandaoni. Hyo kuonyesha reg number sio sawa kabisaMaisha haya. Hivi Unajiskiaje kupiga picha gari ya mwanaume mwenzako na kupost mtandaoni?
Tena bila kuHide namba??
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wewe ulisema $77,000 ya GLS ni pamoja na kodi iliopigwa huko Ulaya. Nikakwambia mambo hayaendi hivyo.Sijui ni wapi nilisema kodi inapigwa mara mbili , ila kuna scenario uliisema nikakwambia kuwa hiyo inaweza ku attract double taxation kitu ambacho sio sahihi.
Point yangu nilisema kuwa hakuna dealer anaweza akakupa raw price ya item ati bila kodi . Hata ukimwambia unataka ku export , ndo anaweza kukupa option ya tax exemption.
Bei za magari huwa hazibadiliki.
Kinachobadilika ni tax policy ya Tz au series mpya ya hiyo model. Mf LC300 series inavyokuja ndo inaweza badili bei.
Hata ukienda 2022 bado GLS entry model itauzwa bei ileile ya $77,000.
Alie toa post kakosea na wewe ume kosea zaidi ulipaswa kumuelewesha tuu next time awe anaficha hizo nambaHivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kirahisi hivyo?Mkuu sidhani kama upo serious, bei za magari hubadilika kadiri miaka inavyopinduka kutegemeana na stock iliyopo kwa dealer na reputation ya brand husika sokoni,
Mfumo upi wa magari wa TRA ambao unaficha taarifa za mmiliki wa chombo!??Hajahide namba kwani hilo gari limefanya uhalifu au kuna tishio la kiusalama kwa mmiliki? Na unashindwa kuelewa mfumo wa TRA mmiliki siku hizi hayuko wazi kama zamani wamehide taarifa za mmiliki, Na vipi Hornet anayeuza used mbona hu hahide namba
Hapa hukunielewa hiyo ni bei ya kuondoka na chombo chenyewe kama ungekuwa unaishi Nchi husika yan full taxed , Tena bei halisi ni 76190 usd hiyo 77000 nime round offWewe ulisema $77,000 ya GLS ni pamoja na kodi iliopigwa huko Ulaya. Nikakwambia mambo hayaendi hivyo.
Hiyo $77,000 ni kutoa gari kiwandani tena bila options na kuletewa wewe nchini kwako ndo upambane na TRA.
Bei ya tractor unit man Tgs 440, 2020 ilikuwa 9000 pounds less kuliko 2018 model kwa sababu ya bad reputation ya previous model.Kirahisi hivyo?
Pricing ya magari haiendi hivyo. Hiyo sio stock market kwamba bei za hisa zinabadilika kila mara.
Bei huwekwa fixed.
My point of argument is not about a tax policy, it's about the method which is being used here for comparison.Bei za magari huwa hazibadiliki.
Kinachobadilika ni tax policy ya Tz au series mpya ya hiyo model. Mf LC300 series inavyokuja ndo inaweza badili bei.
Hata ukienda 2022 bado GLS entry model itauzwa bei ileile ya $77,000 MSRP.
Mwenye hiyo gari ni tajiri mwenzio mfanyabiashara mkubwa hapo kariakoo,ni jirani yako kule nyanda za juu kusini,anatokea hapo njombeUmejuaje kuwa Ni ya mwanaume?
rav 4 hybrid shapeless?Shapeless Liko kama Nadia,
aisee wafanyabiashara wa Njombe wana hela na hawana kelele..Mwenye hiyo gari ni tajiri mwenzio mfanyabiashara mkubwa hapo kariakoo,ni jirani yako kule nyanda za juu kusini,anatokea hapo njombe
Kijana you argue with details. You did your homework! Kudos.Cheers.
Have a good one.
My apology!Alie toa post kakosea na wewe ume kosea zaidi ulipaswa kumuelewesha tuu next time awe anaficha hizo namba
Huu ndio uungwaana sio hivyo kuanza kutoa maneno ya kejeri
Najua hatari iliyopo kwa kuto kuficha izo namba wenda mwendesha gari hakutaka kujulikana /au gari haiku takiwa kuwa hapo ILIPO kwaiyo inaweza kuwa na tatzo kwa alio kuwa nayo hapo