Well.My point of argument is not about a tax policy, it's about the method which is being used here for comparison.
*Nilikuwa naona the right methodology ni ku compare magari based on the same model year.Sidhan kama itakuwa sahihi pia kulinganisha let's say VX ya 2022 na GLS ya 2021 and virce versa ukapata majibu sahihi-1 year difference kwenye market ni kubwa sana.
Ndo maana kwenye ule uzi wa watu wa ajabu wamekutajaWe jamaa kalio kweli. Yani mm nione wivu mtu anamiliki TOYOTA?
Si Bora nife sasa maana maisha yatakua hayana maana.
Huoni kama tupo ligi tofauti. Mimi sipo kwenye stage ya kupiga picha magari ya wanaume na kuyapost mitandaoni.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mimi wa ajabu kweli yaani wananionea kunitaja walitakiwa wanipe tuzo!Ndo maana kwenye ule uzi wa watu wa ajabu wamekutaja
Naelewa sasa why
Hiyo gari sio chini ya million 75Mfuko wako tu mkuu. Zisipingue mil.20.
Umejuaje kwa gari ni ya mwanaume...πππAcheni tabia za kiswahili nyie. Unapostije gari ya mtu kwenye mitandao bila ridhaa yake?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Weka penal code section ipi?Kupiga picha bila idhini ni kosa la jinai!! INFRINGEMENT OF PRIVACY.