Hii Kluger New Model nimeilewa sana

mkuu samawahaniiii .... inaonekana una ndinga kali hamu mjini bhasi tuonee huruma na sisi wenye vibeba golf kama unavosema
Mimi hujanikosea kitu. Unajikosea wewe mwenywe. Change your mentality ata kama ishakua impaired kwa sababu ya lack of balanced diet wakati wa utoto wako.

But, start somewhere!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Sawa mzee wa lishe bora a.k.a mboga 7.

'Matter of time kwako ni muda gani?'

Thread zako zote unauliziaga tu Gari za Germany(bei,reliability,zenye facelift etc) mpk kuna mwamba humu ambae hua anashauri khs hayo magari akakwambia aisee bro unachosha kishenzi,ni miaka mingi sasa unaniuliza tu khs hayo magari afu hununui wala nini.
 
hahahahahahahah mkuu isije kuwa nimepatia kuwa tuko wote kwenye daladala tunagombania siti ya dirishani
 
Huyo mwamba unayemsemea anajua gari nayomiliki mbona.? Nilishamtumia picha Inbox.

Unaweza kumTAg hapa ...asipothibitisha waambie Moderators wanipige Life Ban! Maana ntakua sina maana.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Huyo mwamba unayemsemea anajua gari nayomiliki mbona.? Nilishamtumia picha Inbox.

Unaweza kumTAg hapa ...asipothibitisha waambie Moderators wanipige Life Ban! Maana ntakua sina maana.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kwamba mwamba alithibitisha unamiliki hio gari?

Nikipiga hapa Picha ya G-wagon nikakutumia inbox nikakwambia ninaimiliki wewe unathibitishaje?
 
hahahahahahahah mkuu isije kuwa nimepatia kuwa tuko wote kwenye daladala tunagombania siti ya dirishani
Nyie ndo wale John Pombe alikua akifukuza watu...mnashangilia mnafurahia eti sasa hivi tuko wote levo moja.

Yani fikra za kimaskini hizii.....kwaiyo unadhani kila mtu anagombania dala dala kama ww sio????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Lee
Wala huwezi niprovoke niseme nina kitu gani na kipi , haitakusaidia na wala haitikusaidia
Ila exposure yako ni ndogo sana ndo sababu unajiona upo smart over others,
Ungalipata exposure ya kutosha ungejifunza kitu kimoja , wajinga huwa wanajiona wapo smart and safe kuliko werevu.
Debe tupu haliwachi kutika , kadiri unavyojisifia kuwa ni mjanja na msomi ndivyo unazidi kuudhalilisha ujanja na usomi wenyewe.
 
noted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…