Hii Kluger New Model nimeilewa sana

Hii Kluger New Model nimeilewa sana

mkuu samawahaniiii .... inaonekana una ndinga kali hamu mjini bhasi tuonee huruma na sisi wenye vibeba golf kama unavosema
Mimi hujanikosea kitu. Unajikosea wewe mwenywe. Change your mentality ata kama ishakua impaired kwa sababu ya lack of balanced diet wakati wa utoto wako.

But, start somewhere!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni Nyumbaro plus lishe duni mkiwa wadogo ndio maana upeo wa kufirki, kuelewa na kung'amua mambo hamna.

Nimesema "in a matter of time". Sasa ambacho hamuelewi nini? Kumbe ndio mana wanaharakati wanapigania watoto wawe wanapata lishe kamili mashuleni.madhara yake ndio haya sasa ukubwani.

Gabbage!

If you MFs ever doubt me....well, believe me this now......kua I'm outta your league!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sawa mzee wa lishe bora a.k.a mboga 7.

'Matter of time kwako ni muda gani?'

Thread zako zote unauliziaga tu Gari za Germany(bei,reliability,zenye facelift etc) mpk kuna mwamba humu ambae hua anashauri khs hayo magari akakwambia aisee bro unachosha kishenzi,ni miaka mingi sasa unaniuliza tu khs hayo magari afu hununui wala nini.
 
Mimi hujanikosea kitu. Unajikosea wewe mwenywe. Change your mentality ata kama ishakua impaired kwa sababu ya lack of balanced diet wakati wa utoto wako.

But, start somewhere!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
na huyu utotoni alikula nini ?
gr.jpg
 
Sawa mzee wa lishe bora a.k.a mboga 7.

'Matter of time kwako ni muda gani?'

Thread zako zote unauliziaga tu Gari za Germany(bei,reliability,zenye facelift etc) mpk kuna mwamba humu ambae hua anashauri khs hayo magari akakwambia aisee bro unachosha kishenzi,ni miaka mingi sasa unaniuliza tu khs hayo magari afu hununui wala nini.
hahahahahahahah mkuu isije kuwa nimepatia kuwa tuko wote kwenye daladala tunagombania siti ya dirishani
 
Sawa mzee wa lishe bora a.k.a mboga 7.

'Matter of time kwako ni muda gani?'

Thread zako zote unauliziaga tu Gari za Germany(bei,reliability,zenye facelift etc) mpk kuna mwamba humu ambae hua anashauri khs hayo magari akakwambia aisee bro unachosha kishenzi,ni miaka mingi sasa unaniuliza tu khs hayo magari afu hununui wala nini.
Huyo mwamba unayemsemea anajua gari nayomiliki mbona.? Nilishamtumia picha Inbox.

Unaweza kumTAg hapa ...asipothibitisha waambie Moderators wanipige Life Ban! Maana ntakua sina maana.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Huyo mwamba unayemsemea anajua gari nayomiliki mbona.? Nilishamtumia picha Inbox.

Unaweza kumTAg hapa ...asipothibitisha waambie Moderators wanipige Life Ban! Maana ntakua sina maana.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kwamba mwamba alithibitisha unamiliki hio gari?

Nikipiga hapa Picha ya G-wagon nikakutumia inbox nikakwambia ninaimiliki wewe unathibitishaje?
 
hahahahahahahah mkuu isije kuwa nimepatia kuwa tuko wote kwenye daladala tunagombania siti ya dirishani
Nyie ndo wale John Pombe alikua akifukuza watu...mnashangilia mnafurahia eti sasa hivi tuko wote levo moja.

Yani fikra za kimaskini hizii.....kwaiyo unadhani kila mtu anagombania dala dala kama ww sio????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Ndio mana nasisitiza watoto wawe wanapata mlo bora na lishe yenye virutubisho tosha.

Yani, still u dont get it!

Kama nawaza in a matter of time kuhusu GLS we unahisi sasa ivi ninaenda kwenye GOLF Course au??

Maisha haya. Dah!

Kweli nimeamini kua Blessed na Commonsense ni Punishment maana utakua kila siku unadeal na wajinga wajinga ambao hawana.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wala huwezi niprovoke niseme nina kitu gani na kipi , haitakusaidia na wala haitikusaidia
Ila exposure yako ni ndogo sana ndo sababu unajiona upo smart over others,
Ungalipata exposure ya kutosha ungejifunza kitu kimoja , wajinga huwa wanajiona wapo smart and safe kuliko werevu.
Debe tupu haliwachi kutika , kadiri unavyojisifia kuwa ni mjanja na msomi ndivyo unazidi kuudhalilisha ujanja na usomi wenyewe.
 
Hapana,,,,,nakwambia tuu watu wanajua hilo kwamba huna akili,,,,unapenda ugomvi ugomvi hata kama haukuhusu,,,,unatukana watu,,,,,kila siku wewe humu unatukana watu wanafilwa,,,,kama unataka kufilwa si utumie njia nyingine,,,,hio ni ngumu sana watu kujua kwamba unafilwa,,,,wachache ndio tumejua,,,,kama mimi muongo fatilieni post zake

OLE WAKO NIKUKUTE UNATUKANA TENA WATU,,,,,nimemaliza
noted
 
Back
Top Bottom