Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Umejuaje kuwa Ni ya mwanaume?
Tuliza mshono kijana.Aisee jombaa hebu tuweke picha ya ile G-wagon yako na R/Rover autobiagraph 2021 wanyonge tujionee.
Weka basi hata ile 2020 Bmw M3 yako fogo.Tuliza mshono kijana.
Stress za maisha zitakuua.
Nilifuata comment uliosema watu wanakariri German Models ni expensive wakati sio.Mwaka 2020 ndo nilizingatia maana hizi 2021hata hapa bongo bado , mijadala kama hii huwa tunaongelea vitu vilivyopo sio vya kufikirika
Halafu mdau alikuwa anaongelea Gls ambayo base price yake ni 77000 usd , na si amg 63 gls
@Stanley Mitchell II amesema sahihi.Weka basi hata ile 2020 Bmw M3 yako fogo.
na hapo usikute hata cm kanunuliwa na mume wa dadayakeWhat a pathetic mindset.
Ila hutu tujitu twenye majina ya English halafu wakaongeza namba za Ki Roman kama Yako basi wanajikutaga wajukuu wa Queen Elizabeth [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849].
Kwa hio wewe broiler unazokula kila siku ndio zimekufanya uwe Maladaptive daydreamer?@Stanley Mitchell II amesema sahihi.
Maisha ya baadhi ya watanzania ni shida sana. Malnutrition inaharibu mpaka ubongo.
Mtu mwenye akili timamu hawezi tukana watu asiowajua.
You take everything personal.
Mume wa dada yake au mume wake mkuu?na hapo usikute hata cm kanunuliwa na mume wa dadayake
Mkuu huyu jamaa anaonekana hayupo sawa Upstairs.@Stanley Mitchell II amesema sahihi.
Maisha ya baadhi ya watanzania ni shida sana. Malnutrition inaharibu mpaka ubongo.
Mtu mwenye akili timamu hawezi tukana watu asiowajua.
You take everything personal.
Sasa havi naendesha Harrier tena sio nagombania daladala?Kwa hio wewe broiler unazokula kila siku ndio zimekufanya uwe Maladaptive daydreamer?
Kweli ukila ma broiler mengi kila siku yanakufanya unakaa unaongelea magari ya mil 300 huko wkt unaendesha harrier ya kupewa.
Hakika huwezi kua na akili timamu.
hahaha yote yanawezekana sunaona hata uandishi wake.[emoji3][emoji3][emoji3]Mume wa dada yake au mume wake mkuu?
Umaskini mbaya sana ukichanganya na siasa za ujamaa.na hapo usikute hata cm kanunuliwa na mume wa dadayake
acha zako bana toka hapo kwa shemeji kajitegemee ,miaka yote hiyo unashare bafu na shemeji yako.[emoji3][emoji3] siku dadaako akisusa shemeji atakukulaSasa havi naendesha Harrier tena sio nagombania daladala?
Bro, umeshakula kweli leo?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Tuliza kalio wewe,kula hizo broiler zako then ukimaliza rudi hapa Jf uanze kuuuliza yale maswali yako ya Audi A4 unaionaje,benz E-class itanifaa,Hivi Bmw 7 class facelift yake sijui imefanya nini....Mkuu huyu jamaa anaonekana hayupo sawa Upstairs.
Pia anaonekana ana stress na shida shida za maisha.
Point yangu ilikua hata kama umeona gari nzuri njiani ukawa inspired......ukapenda kupiga picha.... ili upost mitandaoni kwa nia njema ila hujapata idhini ha mmiliki....basi Hide Namba zake....you never know.
Hiyo ni commonsense ya kawaida sana.
Sasa anasema mm miaka mingi nauliza gari afu sina gari ....nikamuambia amTag huyo jamaa atasema nina gari gani afu naichukulia kawaida....kwa sababu sina fikra za kimaskini.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hahah duh basi inatosha mkuu.hahaha yote yanawezekana sunaona hata uandishi wake.[emoji3][emoji3][emoji3]
Hizo options nyingi ni rip off tu, Porsche, Audi Mungu ana waona.Nilifuata comment uliosema watu wanakariri German Models ni expensive wakati sio.
Nimekuonesha mifano tu ya German models zilizo expensive kuliko hizo Toyota VXR. And last time i checked, top model ya Toyota Landcruiser ambayo ni VXR inauzwa $120,000. Ukiweka options na makodi ndo inakuja hiyo $180,000 sawa na 400M kama ya yule mkurugenzi wa Geita.
Mzee wa ku-review hayo magari kupitia youtube na google atajulia wapi hayo wkt ye mwenyewe ni muendesha toyota tu.Hizo options nyingi ni rip off tu, Porsche, Audi Mungu ana waona.
Hiyo hela si unachukua Hilux yako kali sana D4D ya mwaka 2013 na chenji inabaki. Anyway kila mtu na choice yakeHio kluger ya 2016 unamwambia zisipungue mil.20? Hapo kaipata kwa nafuu ni 80M.