JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Huyo jamaa wanaomtafuta weshajua yupo wapi.nacheka lkn kwa dharau sana mnazungumzia gari na nmba zake mbn huyu jamaa anayekatiza mbele ya gari ya mpiga picha hamjaona kama pia mnadhalilisha ungeanza kwanza ku-hide picha ya jamaa then ndo izo plate number.
Hii gari ukitaka ufurahie uchukue 3.5ltr V6. Nzito halafu Iko very powerful. Top speed 220kphYah lipo la Hybrid pia
Wewe jamaa unaonekana mkoloni sana,kama plate number inaweza kumcost kwa picha za hapa jf huko mtaani si itakua balaa maana mtaani ndio inaonekana na watu wengi kuliko mitandaoni,basi kama vipi aiendeshee chumbani kwake ili isionekane na watuSifa zake zinaweza kumCost mmiliki kwa namna moja au myingine.
Acheni hizo tabia za kiswahili.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sawa Nyerere endelea kupigani uhuru kutoka kwa mkoloniWewe jamaa unaonekana mkoloni sana,kama plate number inaweza kumcost kwa picha za hapa jf huko mtaani si itakua balaa maana mtaani ndio inaonekana na watu wengi kuliko mitandaoni,basi kama vipi aiendeshee chumbani kwake ili isionekane na watu
mkuu bado tu ?Sawa Nyerere endelea kupigani uhuru kutoka kwa mkoloni
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kuna sababu gani ya kuuza LC200 $85,000 wakati ina basic features? Bila options kabisa.Hizo options nyingi ni rip off tu, Porsche, Audi Mungu ana waona.
Sana yani sema shida uoga wa kwenda sheli tuHii gari ukitaka ufurahie uchukue 3.5ltr V6. Nzito halafu Iko very powerful. Top speed 220kph
Au yupo kwenye gari ya mkoani anasafiri na kuku kwenye siti moja![emoji1][emoji1][emoji1]
Vp changamoto za spea, na mafundi Mkuu? Changamoto yake ni left hand ila zinaonekana ziko vizur Mana naona nyingi ni leather seat.Heshima kwake Kluger lakini mimi mpenzi wa Korean cars,karibuni .Kia Sorento 2020View attachment 1781784
Mmiliki unamjua au unasema tu?Sifa zake zinaweza kumCost mmiliki kwa namna moja au myingine.
Acheni hizo tabia za kiswahili.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mwenye gari huko barabarani huwa anahide number? Mkuu rudisha akili yako kichwani.Hivi mlipita pita shule kweli hata kidogo? Au umande.?
Kama umepost kwa kusifia bila ridhaa ya mmiliki kwanini usiHide hizo namba?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
400m pamoja na ushuru ambao nahisi ni 100%Kuna sababu gani ya kuuza LC200 $85,000 wakati ina basic features? Bila options kabisa.
Na VXR iuzwe 400M unaona ni sahihi?
Huo si ndo wizi wenyewe?
hapa hujamalizia ulikua kwenye pita zako mjini ukiwa kwenye gari gani???Leo nikiwa kwenye Pita zangu, mjini
Hapa South Africa zipo right hand za kutosha,brand new + ushuru kwa kia Sorento 2020 ni m 100[emoji29][emoji26]Vp changamoto za spea, na mafundi Mkuu? Changamoto yake ni left hand ila zinaonekana ziko vizur Mana naona nyingi ni leather seat.
Ushuru ni $47,000.400m pamoja na ushuru ambao nahisi ni 100%