MIKENYA NI ARROGANT SANA, NA WAHUSIKA WANAKAA KIMYA, HAKIKA KENYA NI CORRUPTKuna hii picha imezagaa kwenye mitandao ya Kikenya wengi wakihoji wapi Kenya ambapo kuna watu wabishi hata kwenye upumbavu unaoweza kuhatarisha maisha kiasi hiki.
Mimi nahisi hii picha iko Bongo, huko ndiko walivyo, wabishi hata wanapo ambiwa ukweli hawautaki, hususan hawa hukesha kwenye taarifa za Kenya humu JF.
Kenya Power Responds to Viral Photo of Transformer Erected Through House
Kuna hii picha imezagaa kwenye mitandao ya Kikenya wengi wakihoji wapi Kenya ambapo kuna watu wabishi hata kwenye upumbavu unaoweza kuhatarisha maisha kiasi hiki.
Mimi nahisi hii picha iko Bongo, huko ndiko walivyo, wabishi hata wanapo ambiwa ukweli hawautaki, hususan hawa hukesha kwenye taarifa za Kenya humu JF.
Kenya Power Responds to Viral Photo of Transformer Erected Through House
Kali sana. Kenya Power huwa hawatumii nguzo kama hizo, zao zote ni standard moja, za round. Hii lazima itakuwa ni huko huko kwa wajuaji. Jiweland. π
Hamna nguzo kama hizo Kenya hapo kuna kauvundo ka utaalamu wa twiga anayependa kuishi gizani. Teh teh. [emoji1]He he he he
Huko ni Kenya aiseee, maana akili za wakenya zimejaa miraa tu.
Unatuonea tu arif. Tanzania hatuna nguzo za umeme za zege...Kuna hii picha imezagaa kwenye mitandao ya Kikenya wengi wakihoji wapi Kenya ambapo kuna watu wabishi hata kwenye upumbavu unaoweza kuhatarisha maisha kiasi hiki.
Mimi nahisi hii picha iko Bongo, huko ndiko walivyo, wabishi hata wanapo ambiwa ukweli hawautaki, hususan hawa hukesha kwenye taarifa za Kenya humu JF.
Hata muundo wa nyumba, za aina hii huwa zipo Tanzania ikiwemo nguzo za umeme, zetu huwa round.
Kenya Power Responds to Viral Photo of Transformer Erected Through House
Ukute hapo ni Sumbawanga na mwenye nyumba kwenye garaji lake amepark bonge la uteo. [emoji38] Tanesco subutu!Wabishi sana wale.... Yaani hapo yeye keshajenga nyumba, humwambii kitu na haambiliki na hajaribiwi.
Pimbi Nywee, Tanzania hatuna nguzo za pembe 4, tunazo za round na tuna ardhi ya kutosha. Na sisi sio wabishi kwa maana hatuna damu ya kikikuyu.Kali sana. Kenya Power huwa hawatumii nguzo kama hizo, zao zote ni standard moja, za round. Hii lazima itakuwa ni huko huko kwa wajuaji. Jiweland. π
Angalau hapo kama ni Nairobi(naona picha zenyewe sijui ni za Zanzibar) kuna uhakika kwamba hizo nyaya zina umeme maanake nyaya za umeme za tanesco huwa ni za kusapoti nguzo tu. .....na mahala pa njiwa kupumzikia. [emoji1]Pimbi Nywee, Tanzania hatuna nguzo za pembe 4, tunazo za round na tuna ardhi ya kutosha. Na sisi sio wabishi kwa maana hatuna damu ya kikikuyu.
June 2011
Dec 2014
Aug 2016
Jun 2017
Bado mwaka haujaisha. Huu sasa ndio ubishi wa Nairobi, wallah hilo banda la njiwa hapo likianguka litang'oa hizo nyaya za umeme.
Ha ha ha ha ha ha hakuna nguzo za hivyo huku tz
sisi tunatumia nguzo za miti then ziko round sio kama hizo za zege
hiyo still ni kenya maeneo ya.................
Kumbe hamna umeme, sasa shida yenu nini? Mnaogopa njiwa?Angalau hapo kuna uhakika kwamba hizo nyaya zina umeme maanake nyaya za umeme za tanesco huwa ni za kusapoti nguzo tu. .....na mahala pa njiwa kupumzikia. [emoji1]
Kali sana. Kenya Power huwa hawatumii nguzo kama hizo, zao zote ni standard moja, za round. Hii lazima itakuwa ni huko huko kwa wajuaji. Jiweland. π
π
Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani leo jumanne Novemba 21, 2017 akiwa Mkoani Pwani katika Wilaya ya Bagamoyo ametembelea kiwanda cha kuzalisha nguzo za zege (Concrete poles) cha East Africa Infrustructure Engineering Ltd. eneo la kidomole, Bagamoyo.