MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kuna hii picha imezagaa kwenye mitandao ya Kikenya wengi wakihoji wapi Kenya ambapo kuna watu wabishi hata kwenye upumbavu unaoweza kuhatarisha maisha kiasi hiki.
Mimi nahisi hii picha iko Bongo, huko ndiko walivyo, wabishi hata wanapo ambiwa ukweli hawautaki, hususan hawa hukesha kwenye taarifa za Kenya humu JF.
Hata muundo wa nyumba, za aina hii huwa zipo Tanzania ikiwemo nguzo za umeme, zetu huwa round.
Kenya Power Responds to Viral Photo of Transformer Erected Through House
Mimi nahisi hii picha iko Bongo, huko ndiko walivyo, wabishi hata wanapo ambiwa ukweli hawautaki, hususan hawa hukesha kwenye taarifa za Kenya humu JF.
Hata muundo wa nyumba, za aina hii huwa zipo Tanzania ikiwemo nguzo za umeme, zetu huwa round.
Kenya Power Responds to Viral Photo of Transformer Erected Through House