ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nyie wana msimbazi sijui mnamwelewa huyu mzee? Maana amekuwa akitahadharisha hilo karibu mwezi sasa, lakini anashangaa baadhi yenu mmekuwa mkimwandama mitandaoni!
Nilichoona
Msiitazame sana Yanga na mwenendo wake, kwani kufanya hivyo ni kuzidi kujiumiza. Jipangeni, tengenezeni timu taratibu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nilichoona
Msiitazame sana Yanga na mwenendo wake, kwani kufanya hivyo ni kuzidi kujiumiza. Jipangeni, tengenezeni timu taratibu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app