Hii lodge niliyofikia leo imenikumbusha mwaka 2015 nilipokuwa Arusha field kikazi

Ujana maji ya moto mimi huwa nalala hotel kubwa ambazo huwa wanawazibiti malaya hatoki hadi upigiwe simu chumbani kuwa unamluhusu huyu atoke hotel za kuanzia 40000 au elfu 50000 zina security unachukua malaya na unalala bila wasiwasi
Wewe ni Mwanaume?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kilete hapa mkuu
Ni aibu tupu.
Niliwahi kuingia gesti moja hapo miaka ya 2009.
Sasa niko na jamaa yangu msukuma na demu wake wa huko Musoma bana.
Tukala vyombo vya kutosha, wakati tunapiga pombe hata nilikuwa sijui tunalala wapi Hapo demu wa mshikaji ndio mwenyeji wetu.

Kuangalia saa inaenda saa 6 usiku. Demu katupeleka lodge(gesti ya ajabu ajabu tu).
Nafasi ilikuwa imebaki ya chumba kimoja tu.
Wakati tunaenda kukiangalia mimi si nikajilaza kwenye kile kitanda mazima!!! Sikunyanyuka tena. Na akili haikusoma network yoyote.

Jamaa na demu wake wakaondoka kutafuta sehemu nyingine wakaniacha pale na mimi sikuwa na uenyeji wowote ule.
Nilishtuka mida ya saa tisa, nimekabwa na kiu isivyokawaida.

Sijui hata reception ni wapi...giza tororo! Nikawasha kisimu changu cha tochi (washukuriwe wachina).

Wenge linanicheza kama lote mwili unatetemeka balaa.
Nikakumbuka jamaa na demu wake. sikuhangaika kupiga simu nikijua ningewasababishia usumbufu.

Kwa shida nikafika reception, mdada anakoroma nikamshtua saa ngapi asipige yowe moja kali, akijua amevamiwa. Mlinzi akafika kulikuwa hakuna umeme. Na tochi yake, akajua ni mteja.

Mlinzi akaanza kunifokea mbaya mbovu, akijua nilikuwa nataka kum'baka yule dada wa mapokezi. Daah!! Nikamcool down na kumweleza kuwa nahitaji maji tu yakunywa.
Wakaniambia hakuna maji pale. Walishanidharau kuwa mimi ni mlevi tu.

Yule mlinzi alinisihi nilale tu hadi kukuche, nilijaribu kulazimisha kutoka kwenda kutafuta maji! Ikashindikana sasa wakati narudi room niliyokuwepo nikaona pipa kwenye kona moja. Mlinzi akawa ananifuata kwa nyuma, nilimtukana kidogo. Mzee lile pipa lilikuwa lina maji! Nikayapiga tena kwa kutumua kikopo kilichokuwepo humo humo.

Niliwasikia kwa mbali tu wakiambiana aisee huyu jamaa kanywa yale maji ya chooni. Sikujali nikaenda kuangusha zangu. Nilikuja kushtuliwa na jamaa yangu saa mbili asubuhi.

Si mchezo Musoma sitapasahau.
 
Like serious! Halafu ukute baada ya kumuabisha mdada wa watu uliendelea kumla 😭😭
 
Hii habari ya kunywa maji ya bafuni imewai kunikuta saizi nimekua mjanja nikiludi kulala chumbani nabeba na maji hasa castle lite zinaleta kiu sana usiku
 
Hii habari ya kunywa maji ya bafuni imewai kunikuta saizi nimekua mjanja nikiludi kulala chumbani nabeba na maji hasa castle lite zinaleta kiu sana usiku
Kipindi hiko nikinywa bia silewi kabisa!!!
 
Ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…