Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaumia sana moyoni mkuu. Na hizo faida zake kiuchumi zitakapoanza kugusa maisha ya mtu mmoja mmoja usije kuwa wa kwanza kuanzisha uzi wa kinafiki wa kupongeza.I think this is the poorest decision She has ever made?
Tunaheshimu tu Katiba lakini hafai kiwa kiongozi mkuu wa nchi.
Asaini asisaini. Hili jambo ni la kupingwa kwa nguvu zote. Kimyakimya na waziwazi.
View attachment 2788904
IGA ile ile ndio inayokwenda kufanya kazi pale TPA.Swali ni;
Wanatiliana saini na mwekezaji gani hiyo mikataba?
Ni hawahawa waarabu wa DP World huku msingi wake ikiwa ni yale makubaliano [IGA] yenye matatizo na mapungufu yasiyorekebishika?
Kama ni mikataba mingine mipya tofauti na kile tulichopigia kelele, tunasubiri tukione..
Ila kama ni yaleyale ya DP World kama ilivyokuwa mwanzo, basi waacheni CCM wajimalize mwenyewe maana maandishi ya MENE MENE NA TEKELI yako wazi mno ukutani.
Asomaye na afahamu.
Wanipe tuu Hela yangu nisepeI think this is the poorest decision She has ever made?
Tunaheshimu tu Katiba lakini hafai kiwa kiongozi mkuu wa nchi.
Asaini asisaini. Hili jambo ni la kupingwa kwa nguvu zote. Kimyakimya na waziwazi.
View attachment 2788904
Ndio unaenda kupigwa beiI think this is the poorest decision She has ever made?
Tunaheshimu tu Katiba lakini hafai kiwa kiongozi mkuu wa nchi.
Asaini asisaini. Hili jambo ni la kupingwa kwa nguvu zote. Kimyakimya na waziwazi.
View attachment 2788904
Hunijui wewe. Tafuta mtu mwenye jina hilo popote pale kama utampata.Halafu chawa wengi mnatumia majina yenu halisi, lengo kuu mpate kukumbukwa.
Hovyo kabisa!
Hakuna faida yoyote acha kudanganya watu.Hiyo ni miradi ya watu.Tatizo la nchi hii sio uhaba wa pesa bali matumizi ya hovyo.ndo maana ata zinazopatikana tunaona hazitoshi kwasababu nyingi zinavujia pembeni.Utaumia sana moyoni mkuu. Na hizo faida zake kiuchumi zitakapoanza kugusa maisha ya mtu mmoja mmoja usije kuwa wa kwanza kuanzisha uzi wa kinafiki wa kupongeza.
Pale katika ile hadhara inayoshuhudia utiaji saini yupo Father Kitima amekaa kimyaa anatazama yanayoendelea.
Huna biashara yoyote inayotumia bandari hivyo huelewi kinachokwenda kufanyika na faida zake kwenye uchumi wa nchi nzima.Hakuna faida yoyote acha kudanganya watu.Hiyo ni miradi ya watu.Tatizo la nchi hii sio uhaba wa pesa bali matumizi ya hovyo.ndo maana ata zinazopatikana tunaona hazitoshi kwasababu nyingi zinavujia pembeni.. Huna biashara yoyote inayotumia bandari hivyo huelewei kinachoendelea, pole sana.
Leo kama nakiona unavyofurahi...Ila na Mimi Leo nafurahi na wewe sijui sababu ila nafurahia kwelikweliNdio unaenda kupigwa bei