BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Mh hii kama ingekuwa kule kwa AD vile! Ila mambo kama haya yanatokea mara chache sana compare na wanaume wanavopiga wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnunu ungejua!Naomba nikuhakikishie katika hadhara hii ya MMU kuwa waume kibao wanakung'utwa na wake zao,au unataka tutaje majina?chunguza utaniambia,na hii attitude hii ya mme hawezi pigwa ndo inafanya wanaume wawe kimya huku wanaumizwa,fuatilia utaona.