BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ukisikia mchicha pori orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?
Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?
Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?
Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
View attachment 2934369View attachment 2934370
Msaada wenu wanajamvi.
Herbalist Dr MziziMkavu n.k
Mpwa utafanya watu waufyeke Kwa matumiz πππUkisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za mabogq kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
πnguvu za kiume
πnguvu za kiume
Shauri yao mi simo mpwa! πMpwa utafanya watu waufyeke Kwa matumiz πππ
ni miongoni mwa mboga mujarabu sana huku kwetu,Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?
Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?
Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?
Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
View attachment 2934369View attachment 2934370
Msaada wenu wanajamvi.
Herbalist Dr MziziMkavu n.k
Ukisikia mgagani orijino ndiyo huu sasa. Majani yake yana faida lukuki ikiwemo kuongeza nguvu za kiume, kuimarisha kinga ya mwili, kuondoa sumu mwilini, kupunguza cholesterol, kuimarisha uoni wa macho na faida nyingi nyingine.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za mabogq kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!