hiyo mboga inaitwa mchicha mshenzi ukichanganya na nyingine inaitwa mgagani, ambayo yenyewe ni chungu, mboga hiyo inakua tamu zaidi na ni tiba pia πMtatuongezea idadi ya watu wanaohitaji kusafishwa damu. Kitu haujawahi kula unamchuuza mwenzako.
Hizo mbegu huwa zinavunwa na kusagwa na huuzwa ghali sana. Huwa zinachanganywa na ulezi pamoja na unga kidogo wa mbegu za maboga kupikia uji ambao unasemekana unafanya kazi vizuri zaidi kuliko viagra!
Huo uwekundu ndio utamu wake
Huu mwekundu nilishawahi kula ni very healthy una vitamin c nyingi ila hauna ladha ukilinganisha na species za Michicha mingine.
Aisee, πR.I.p
Kula majani hayo ni mboga safi sana na salama. Kuuogopa ni sawa na kuogopa mtama mwekundu kwa rangi yake hali mababu zetu huko Kishapu, Bariai, Maswa, Igunga n.k wamekula na walikuwa imara zaidi ya wala mahindi ya panna, zam seed n.k
Inaliwa mkuu... Wekundu usikuokopeshe
Hahaaaaa, casa tena.haina shida hiyo ukipata na CASA mambo burudani
ni miongoni mwa mboga mujarabu sana huku kwetu,
yote nyekundu na isiyo nyekundu tunaitumia barabaraπ
asubuhi ni mboga ya faster fasta sana, chapchap na kiporo cha kuchoma au kupasha, na mchana na ugali mujarabu wa dona na maziwa mtindi π
wewe acha kabisaa mimi na wanainchi wangu ni bam bam kwenye misosi....
Kitu ikishaitwa mboga!! Raha yake siku zote ni Kuliwa!!
Du! Kuharisha gani hukoThanks kwa ushauri Maweed
Mtamu sana huo na unaongeza nguvu za kiume.Mchicha pori mwekundu je! Unaliwa ama sumu?
Na upandaji wake ni kama mchicha tuliouzoea?
Hivyo nikisema nijaribu kuupanda unakubali kwa all season kwa maana kiangazi na masika?
Mchicha pori nimetokea kuupenda sana sana, ila huu mwekundu unanipa mashaka kama unaliwa.
View attachment 2934369View attachment 2934370
Msaada wenu wanajamvi.
Herbalist Dr MziziMkavu n.k
Mgagani niujuao mimi unamajani madogo na hutumiwa na wasukuma, wanyamwezi, wagogo na wanyiramba na majirani zao.hiyo mboga inaitwa mchicha mshenzi ukichanganya na nyingine inaitwa mgagani, ambayo yenyewe ni chungu, mboga hiyo inakua tamu zaidi na ni tiba pia π
kama hujaishi kijijini na wanainchi huwez elewa hiyo kitu, utakua na fikra kama hizo tu ambazo ni upotoshaji π
sasa kumbe unajua kabisa kama mgagani mchungu ni mboga na inaliwa sana maeneo hayo halafu iweje mchicha mshenzi ambao hauna uchungu hata chembe, iwe tatzo kiafya πMgagani niujuao mimi unamajani madogo na hutumiwa na wasukuma, wanyamwezi, wagogo na wanyiramba na majirani zao.
ni muhimu sana kula mboga za majani kwa wingi mkuuThanks mkuu, nitaanza kuula