ivi kwa rekodi nani kamfunga mwenzie mara nyingi?
Mimi nadhani yuko sahihi maana Yanga ndiyo mabingwa wa mechi za nje ya uwanja, ameomba uzoefu wenu kwa kuwa Simba hawana uzoefu huo.
Simba na yanga ni ujinga uliokithiri. Sipotezi muda wangu kuongelea mambo kama haya
Soka lingekuwa limetawaliwa na uchawi Yanga ingechukua kombe la dunia la vilabu..Hehehe...ninyi mtakuwa washabiki wastaarabu tu
Waulize viongozi wenu huwa wanaenda Tanga au Pemba kufanya nini kabla ya mechi za Yanga...
Simba na Yanga wote ni watu wa fitna za nje ya uwanja na mechi zao huamuliwa na wazee wa busara...
Mechi ya historia ni ile ya Simba na Yanga Nyamagana mwaka 1994, iliisha kwa ushindi kwa YANGA goli 2-1 hiyo ndiyo mechi ya mtu kutokuisahau siyo et Simba NA Azam
kwani rekodi si huesabiwa mara tu mnaapoanza kukutana, acha maneno YANGA kamburuza SIMBA mara nyingiInategemea mkuu, maana swali hilo ukimuuliza mtoto mwenye miaka 5 sasa atakwambia ameshuhudia Yanga ikiifunga Simba mara moja tu wakati Simba ikiikalisha Yanga kadri ipendavyo.
Kwa watu wazima kama sisi tutajibu wanapokezana kufungana.
Kwa miaka 10 hii nani amevurugwa mara nyingi kama sio Yanga, acha maneno maneno yasiyo na utafiti wewe...Mtu anapigwa mpaka mkono wewe unakalia kubisha hapa!kwani rekodi si huesabiwa mara tu mnaapoanza kukutana, acha maneno YANGA kamburuza SIMBA mara nyingi
Ushindi wa Yanga ni nje ya uwanja, kazi yao kubwa ni kukodisha ma-COASTER na kujazana kama gari za mbagala lakini wakiingia uwanjani Simba wanakula kichwa...hizo ni fix tu. nje ya uwanja wapi huko? au ynga ndo mmezoea kuchezea nje ya uwanja? sasa huwa mnakuja uwanjani kufny nini? simba wanacheza uwanjani kama wanshind,wanafunga wana toa draw. ni uwanjani. shauri zenu nyie mnaocheza nje ya uwanja.
kwa miaka 80n ya YANGA na miaka 79 ya SIMBA nani kavurugwa mara nyingiKwa miaka 10 hii nani amevurugwa mara nyingi kama sio Yanga, acha maneno maneno yasiyo na utafiti wewe...Mtu anapigwa mpaka mkono wewe unakalia kubisha hapa!
endeleeni kuishangilia azam mwaka huu
Mbona kawaida tu hiyo, adui yako muombee njaa. Hata Yanga waliisapoti Mtibwa fainali ya Mapinduzi wakaangukia pua, Yanga hao hao wakahamia Ndanda pia wakaangukia pua na macho pia.
Yanga walipobaini kuwa unaposhabikia timu pinzani ya Simba lazima Simba ashinde wakaacha ushabiki maandazi ndipo Simba akafungwa na Mbeya City. Juzi wameenda Morogoro kuishangilia Polisi wakijua Simba itafungwa sababu wao wakitoka kamasi jepesi, matokeo yake Mnyama akatafuna Polisi kwa kishindo kikubwa.
Nasikia Yanga mmeongeza matawi ya Mtibwa Sugar na Ndanda.Nimefurahi toto na african sport zimepanda tubalance matawi ya yanga na simba,(coast,Azam etc)