Labda mpk tochi ziondolewe, dashboard inasoma 200mph ambayo ni sawa na 320kph.Mkeka wa Dsm-Mbeya utaliinjoy sana hilo gari!..Specialy kusikia zile gia zinavyojibadili!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]Iyo gari ukipiga starter tu basi Lita 3 za mafuta zimeshaenda
Tuicheck.wapi sasa,tuwekee hiyo video hapaIshu cheki walivyoifanya stable on road!..Kuweza kutembea chini juu si jambo la mchezo mzee!!..
Hiyo 50-70 si sawa na umekanyaga mafuta kuiondoa tu, hapo sawa na kuendesha trekta mjini 😀Labda mpk tochi ziondolewe, dashboard inasoma 200mph ambayo ni sawa na 320kph.
Je, utaweza kuvumilia kuendesha kwa 50 - 80kph kama wanausalama wetu wanavyotaka?
Noma sana aseh!!..Interior viewView attachment 760992
Na tochi vp?Mkeka wa Dsm-Mbeya utaliinjoy sana hilo gari!..Specialy kusikia zile gia zinavyojibadili!
Sema Huna hela ya kununua boss. Mzuka ndo nnHizi gari za kufunguka binafsi sina mzuka nazo kabisa hata nikifikia uwezo wa kununua dizaini hii.
Hahahahah, kweli ndio full speed ya trekta hio. Tutataftana ubaya tu humo kwenye BenzHiyo 50-70 si sawa na umekanyaga mafuta kuiondoa tu, hapo sawa na kuendesha trekta mjini 😀
sema wenzetu wana barabara za Fast lanes na Autobahn watakuwa wanaziinjoy sana hizi gari!..Hahahahah, kweli ndio full speed ya trekta hio. Tutataftana ubaya tu humo kwenye Benz
Huku fast lane mpaka 2090sema wenzetu wana barabara za Fast lanes na Autobahn watakuwa wanaziinjoy sana hizi gari!..
Imagine umeifungua mpaka ule mlio mdogo zzzzzzz imeleta!.
Sawa kaka..sina hela ya kununua.Sema Huna hela ya kununua boss. Mzuka ndo nn
Hapo ndo raha ya kufanya kazi TRA inapokuja mfanyakazi wa TRA atanunua hiyo benzi 2.5m Tsh tu (pamoja na kodi).Ataiuza mnadani bandari.