Hii Mercedes Benz SLS AMG ni hatari!

Labda mpk tochi ziondolewe, dashboard inasoma 200mph ambayo ni sawa na 320kph.
Je, utaweza kuvumilia kuendesha kwa 50 - 80kph kama wanausalama wetu wanavyotaka?
Hiyo 50-70 si sawa na umekanyaga mafuta kuiondoa tu, hapo sawa na kuendesha trekta mjini 😀
 
Hiyo 50-70 si sawa na umekanyaga mafuta kuiondoa tu, hapo sawa na kuendesha trekta mjini 😀
Hahahahah, kweli ndio full speed ya trekta hio. Tutataftana ubaya tu humo kwenye Benz
 
Hahahahah, kweli ndio full speed ya trekta hio. Tutataftana ubaya tu humo kwenye Benz
sema wenzetu wana barabara za Fast lanes na Autobahn watakuwa wanaziinjoy sana hizi gari!..
Imagine umeifungua mpaka ule mlio mdogo zzzzzzz imeleta!.
 
sema wenzetu wana barabara za Fast lanes na Autobahn watakuwa wanaziinjoy sana hizi gari!..
Imagine umeifungua mpaka ule mlio mdogo zzzzzzz imeleta!.
Huku fast lane mpaka 2090
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…