Hii midege iliyopamba anga Africa kusini

Hii midege iliyopamba anga Africa kusini

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Kwenye shughuli ya kumuapisha ramaphosa hapa naona zaidi ya midege hamsini ya kijeshi IPO angani

Afu hii Africa kusini nimegundua mzungu/kaburu ananguvu sana
Kila kitu wanasimamia wao

Simwoni mzee wa totoz jack zouma
 
Africa ya kusini leo wana furaha kubwa mbili
a) Kuapishwa Rais wao
b)Nyerere Jr ( JPM) kuzuru Taifa lao
 
Back
Top Bottom