Hii midege iliyopamba anga Africa kusini

Hii midege iliyopamba anga Africa kusini

Kwenye shughuli ya kumuapisha ramaphosa hapa naona zaidi ya midege hamsini ya kijeshi IPO angani

Afu hii Africa kusini nimegundua mzungu/kaburu ananguvu sana
Kila kitu wanasimamia wao

Simwoni mzee wa totoz jack zouma
50..!! Mbona chache,zlipita zaida ya 150..
Kna mda airbus 2 zlkua znafanya madoido asee..spati pcha nanii alkua anawaza nini[emoji41]
 
Africa ya kusini leo wana furaha kubwa mbili
a) Kuapishwa Rais wao
b)Nyerere Jr ( JPM) kuzuru Taifa lao
Hivi wanamjua kweli..mna nmeshangaa mwanzo mpaka mwsho watangazaji wala mashaniki hawajamtaja..ila jk katajwa karbu na watangazaji wote..
Btw Naongelea kutajwa jina sio cheo
 
Back
Top Bottom