Rais ni cheo kikubwa sana yenye madaraka makubwa sana mwenye kupata hiyo nafasi lazima aihenyee ndio atakuwa na wivu na hiyo nafasi. Siyo kupewa tu na katiba.
Migomo hii ni udhaifu wa Rais wa sasa, Rais anachezewa na wahalifu wakwepa kodi. Mpaka leo hajatoa kauli kisa "chura kiziwi", ndio kusema hasikii yanayoendelea nchini? Namwomba asifikishe nchi yetu walikofikia wakenya, eti mpaka raia anaingia bungeni na kuchukua utukufu wa bunge(siwa). Nchi gani ya hovyo km ile, kila mtu mjuaji. Raia anaingiaje mazingira ya bunge? Vyombo vya ulinzi na usalama vilikuwa wapi? Hapana hiyo siyo demokrasia. Jifunzeni kwa Kagame na Museveni. Yaani natamani sana nchi hii ipate Rais km Kagame, nchi haitakiwi ijaribiwe na kundi lolote ktk jamii. Wananchi lazima watii serikali iliyoko madarakani, hilo siyo ombi ni lazima. Km kuna changamoto watafutwe wawakilishi wawasilishe kwa njia sahihi.
Samia alikuwa makamu wa Rais, pengine hakujiandaa kuwa Rais tunamlazimisha tu, bora akae pembeni tumchague ambaye amejiandaa kuwa Rais maana ataomba mwenyewe ridhaaa. Mila, desturi yetu ibaki km ilivyokuwa, heshima yetu kimataifa inajulikana. Hao kima wachache waangamizwe kwa maslahi ya Taifa
Migomo hii ni udhaifu wa Rais wa sasa, Rais anachezewa na wahalifu wakwepa kodi. Mpaka leo hajatoa kauli kisa "chura kiziwi", ndio kusema hasikii yanayoendelea nchini? Namwomba asifikishe nchi yetu walikofikia wakenya, eti mpaka raia anaingia bungeni na kuchukua utukufu wa bunge(siwa). Nchi gani ya hovyo km ile, kila mtu mjuaji. Raia anaingiaje mazingira ya bunge? Vyombo vya ulinzi na usalama vilikuwa wapi? Hapana hiyo siyo demokrasia. Jifunzeni kwa Kagame na Museveni. Yaani natamani sana nchi hii ipate Rais km Kagame, nchi haitakiwi ijaribiwe na kundi lolote ktk jamii. Wananchi lazima watii serikali iliyoko madarakani, hilo siyo ombi ni lazima. Km kuna changamoto watafutwe wawakilishi wawasilishe kwa njia sahihi.
Samia alikuwa makamu wa Rais, pengine hakujiandaa kuwa Rais tunamlazimisha tu, bora akae pembeni tumchague ambaye amejiandaa kuwa Rais maana ataomba mwenyewe ridhaaa. Mila, desturi yetu ibaki km ilivyokuwa, heshima yetu kimataifa inajulikana. Hao kima wachache waangamizwe kwa maslahi ya Taifa