Umasikini ndio mbaya sana maana huleta ujinga🪑🪑🪑🪑🤣🤣🤣🤣💺💺🎶🎶📌Hakuna kitu kibaya kama ujinga na umaskini
Ujinga pia unaleta umasikini [emoji1]Umasikini ndio mbaya sana maana huleta ujinga🪑🪑🪑🪑[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji575][emoji575][emoji445][emoji445][emoji419]
Hakika mkuuUjinga pia unaleta umasikini [emoji1]
Tanzania hakuna mtu masikini. Watanzania 99% ni wajinga na wapumbafuUmasikini ndio mbaya sana maana huleta ujinga🪑🪑🪑🪑[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji575][emoji575][emoji445][emoji445][emoji419]
Umelazimishwa kukopa hyo simu?Shetan mbaya Sanaa mkuu amekuja kuiba na kuua na kuaribh hapo unachagua mwenyewe
Mnunulie simuAisee hii mikopo n balaaa inatesa wamama wengi sana ingawa awajajua
Majuzi nilikuwa napga kwa shemeji yenu ana simu mbili..ya kwanza ilibaki nyumban ya pili piga kimya aipatikan na kaaga anaenda kanisan
Nkamuuliza aliporudi vipi mbona umezima simu sio mm wenyesimu zaoo sijalipia hehehee
Nkaamwambia kumbe umekopa mbona ujanjuza najua umenunua
Mmh sikuwahi jua haya ila mnaojua wenza wenu wamekopa simu hawa mda wowote na wahanga hawapatikan msjjewadhuru mkawahisi vibaya
Kwa style hii bora kausha damu
AmekudanganyaAisee hii mikopo n balaaa inatesa wamama wengi sana ingawa awajajua
Majuzi nilikuwa napga kwa shemeji yenu ana simu mbili..ya kwanza ilibaki nyumban ya pili piga kimya aipatikan na kaaga anaenda kanisan
Nkamuuliza aliporudi vipi mbona umezima simu sio mm wenyesimu zaoo sijalipia hehehee
Nkaamwambia kumbe umekopa mbona ujanjuza najua umenunua
Mmh sikuwahi jua haya ila mnaojua wenza wenu wamekopa simu hawa mda wowote na wahanga hawapatikan msjjewadhuru mkawahisi vibaya
Kwa style hii bora kausha damu
MweeeYaani mtu akupe bidhaa ya laki 5 mwaka mzima,kumwongezea laki 3 kama riba unaona shida??
Basi komaa tu ulipe hiyo laki 5.
Halafu shemeji yako mzushi simu ya mkopo inapatikana,isipokuwa sms hutumi.