malimingiii
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 967
- 1,335
Analipa mkuu, sikumaanisha halipi ila yawezekana hajajielewa huyo dada ndio maana alisema alienda mp kumbe unaweza kukuta haikua mp. Ndio maana nikauliza hata kama alienda mp, ilikua ni mp kama nyingine?Mwanamke akiwa bikra halipi kodi?..Au unamaanisha nn?
Aliingia mp moja pekee baada ya kusex nae na aliingia katika tarehe zake kama siku zote anavyodai tangu hiyo mp hakuwa kupata nyingine tena eti anadai yeye hakujali wala hakushtuka anamimba more than 4month na tumbo ni kubwa ila bado anadai yeye hakujua anayo!Watu wengine wapo hivo, anakua mjamzito na siku zake anapata kama kawa kuja kushtuka tumbo lishakua kubwa mtoto anacheza, mtwae tu huyo mwanakondoo wa bwana ukawe mchungaji wake
Ni kweli mkuu, kuna baadhi ya wanawake huingia period kila mwezi hata baada ya kunasa, mpk mimba ikikomaa na damu inakata,
Congratulation, your going to be a dady🙂
Nyie makada wa uvccm ndio chanzo ongezeko LA watoto wa mitaani,kwan wakat unapga kavu,kwan ulikuwa haujui atapata mimba au laah!?kuwa na mimba na uku unablid n jamabo LA kawaida na inawezekana,Google.
Yap ilikuwa mp ya kawaida katika karenda zake nndgAnalipa mkuu, sikumaanisha halipi ila yawezekana hajajielewa huyo dada ndio maana alisema alienda mp kumbe unaweza kukuta haikua mp. Ndio maana nikauliza hata kama alienda mp, ilikua ni mp kama nyingine?
Kama ni hivyo embu kaa nae chini mwongee vizuriYap ilikuwa mp ya kawaida katika karenda zake nndg
Anaelewa basi? Kiburi mtindo mmoja! Wala hataki majadiliano yeye anataka mtoto atunzwe na me nimeona niwe kiburi tuone mbabe naniKama ni hivyo embu kaa nae chini mwongee vizuri
Jamaa alipe faini kwa kuchafua madhabahu tena hiyo faini apeleke kwa NABIIMpendwa hiki kitengo cha mimba zisizotarajiwa tulimkabidhi Raimundo ..Ngoja aje
Ok..Nimekupata uzuri..Ila kwa mujibu wa baadhi ya wadau mwanamke anaweza kuwa mjamzito na akapata period piaAnalipa mkuu, sikumaanisha halipi ila yawezekana hajajielewa huyo dada ndio maana alisema alienda mp kumbe unaweza kukuta haikua mp. Ndio maana nikauliza hata kama alienda mp, ilikua ni mp kama nyingine?
Kama ni hivyo jamaa atafute ushauri wa kitabibu zaidOk..Nimekupata uzuri..Ila kwa mujibu wa baadhi ya wadau mwanamke anaweza kuwa mjamzito na akapata period pia
Ni kweli kabisaWatu wengine wapo hivo, anakua mjamzito na siku zake anapata kama kawa kuja kushtuka tumbo lishakua kubwa mtoto anacheza, mtwae tu huyo mwanakondoo wa bwana ukawe mchungaji wake
Wewe unabisha kwa vitu usivovijua,Aliingia mp moja pekee baada ya kusex nae na aliingia katika tarehe zake kama siku zote anavyodai tangu hiyo mp hakuwa kupata nyingine tena eti anadai yeye hakujali wala hakushtuka anamimba more than 4month na tumbo ni kubwa ila bado anadai yeye hakujua anayo!
Me nawasiwasi alikuwa anajua mimba anayo na ni ya nani sema baada ya kushindwana na mwenye mimba huko ndo akanikumbuka na alipoona uwezo wa kuitunza upo akaona aje kunitwisha zigo
Mpendwa hiki kitengo cha mimba zisizotarajiwa tulimkabidhi Raimundo ..Ngoja aje
mdau ukimaliza maongezi na nabii wako tafadhali leta mrejesho aise mambo yamekua magumu kwa mdau ili tupime yupi ni mkweli aiseHahahahhaha mm leo nacheka tyuu na hiki kibaridi mbuzi cha Dar,..akha!!!
Ngoja niongee na nabii wangu nitarudi kukushauri Mkuu.
Teh teh..Apeleke kwa mume mwenza...Huyu mtt anaweza kuwa wa kolabo..Nabii naye katia barakaJamaa alipe faini kwa kuchafua madhabahu tena hiyo faini apeleke kwa NABII
hahahaha yani umemaliza kila kitu duuuuWatu wengine wapo hivo, anakua mjamzito na siku zake anapata kama kawa kuja kushtuka tumbo lishakua kubwa mtoto anacheza, mtwae tu huyo mwanakondoo wa bwana ukawe mchungaji wake
Hahahahaha sio ya nabiiWewe unabisha kwa vitu usivovijua,
Wapo watu ambao ni wajawazito ila period kila mwezi anapata vizuri tu kama tarehe zake zilivo
Wapo wengine wanapata period miezi ya mwanzo tu baadae inaacha
Kwahiyo yeye kupata period sio reason kwamba mimba sio yako
Kuhusu kutambua mimba wengine wanakaa hadi miezi sita ndo anahisi ujauzito, na unacholaumu kuchelewa kujua ujauzito ni kipi? Kama wewe ulivokariri mjamzito hapati period Ndioooo hivo naye hakujua kama ana mimba baada ya kuona siku zake
Ulivokua unazungusha kiuno kama feni mbovu hukujua kuna mimba?
Teh teh..Ebu tupe mwongozo wa hayo maombi..Hii kesi ni nzito sana kwa sababu inamhusisha nabii, itabidi wapendwa wote tujipange kwa mfungo wa siku tatu huku tukikesha kwa maombi, Evelyn Salt hebu cheki na Paulo Sergio De Souz kama ratiba inamruhusu tuanze maombi leo.
Msisahau nguo za mkesha, maana hali ya hewa ni ya mvua sana.