Hii mimba kweli yangu?

Teh teh..Ebu tupe mwongozo wa hayo maombi..

Ni mfungo wa siku tatu mfululizo, huku tukikesha kwa maombi kanisani, na inabidi wapendwa wote wawepo. Ukumbuke pia tunapambana shetani asije kuturubuni, ndiyo maana nimetoa tahadhari mama mchungaji Evelyn Salt asije na ile mikato yake maombi yakatushinda.
 
hivi mnajua maana ya mwanamke kuingia period? Baada ya kusex na mimi aliingia kwenye siku zake kama kawaida! Kama mimba yangu ilikuwaje akaingia? Nendeni mkasome kwanza inakuwaje mwanamke anaingia mp ndo mjibu hapa
Kumbe majibu unayo, sasa swali uliuliza la nini?
 
Dah mtoto huyooo... Fanya kulea mkuu... Au fanya mambo kikemia, mtoto akizaliwa check DNA
 
kwa kukusaidia mwanamke anaweza kutokwa damu akidhani ni mp, wengine hata 2 months before kujifungua. google
Hajui huyo mm mke wangu aliingia mp mwezi mzima lkn ilivyokata kwenda kupima nikamkuta ana mimba ya miezi mitano
 
Kijana naona unabisha na nabii sasa!!? Nabii kashaona huo mzigo wako aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
 
hawa manabii feki wanawagonga sna waumini wao wasiojielewa

Ila wajinga ndo waliwao
 
Huyo binti ulimbaka, ukampa ujauzito. 30 yrs Segerea umekwepa. The least you can do ni kumtunza huyo binti na kiumbe chenu. Anayejua baba wa mtoto ni mama. Amekuambia wako ni wako mpaka tarehe au DNA vitakavyothibitisha vinginevyo.

Couldn't have said it better.
 

Haha hawa manabii wa siku hizi ni majipu karibia wote. Hapa huyo mwanamama tu, ndiye anahitaji maombi.
 
Usisahau popcorn, baada ya maombi tunakula
 
Yaani nabii mjanja kweli alisubiri ubandue seal naye akapachika.
Anyway lea mzigo huo
 
Hapo kwenye nguo bora umekuwa clear..Mana Mama mchungaji ana mitego sana
 
Hajui huyo mm mke wangu aliingia mp mwezi mzima lkn ilivyokata kwenda kupima nikamkuta ana mimba ya miezi mitano
Watu wengine bwana ni wabishi tu. Unauliza na watu wanajaribu kukuelimisha unakuwa mbishi. Kama haamini si akizaliwa aende kwa Mkemia Mkuu wa Serekali kwa DNA?
 
Vita kati ya shetani na nabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…