HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 878
Kuna misemo mingi ya kiswahili ambayo tumeipokea kutoka kwa mababu na viongozi wetu wa kitaifa. Misemo mingine imekuwa inatafsiriwa au imekuwa ikileta maana tata. Tujaribu kuitazama kiundani nakuona kama bado ina tija kwa taifa hili ama la, tukiwa tunatoka mifumo ya analogia na kuingia digitali.
Misemo yenyewe ni mingi, baadhi yake ni kama ifuatavyo
Misemo yenyewe ni mingi, baadhi yake ni kama ifuatavyo
- Pole pole ndio mwendo
- Aliye juu mngoje chini
- Mbio za sakafuni huishia ukingoni
- Haraka haraka haina baraka
- nk