Hii misemo ya kijamaa imepotelea wapi ndugu zangu?

Hii misemo ya kijamaa imepotelea wapi ndugu zangu?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Maisha ya zamani ilikuwa raha tupu:-​
  • ''Ingia bandani kamata kuku wawili tuchinje''​
  • ''Ingia shambani vunja mahindi tuje tuchome''​
  • ''Chemsha kahawa hapo jikoni ulete tunywe huku ukinihabarisha habari za huko nyumbani''​
  • ''Hadithi hii inatufundisha nini wajukuu zangu?''​
Nyakati hizi huwezi kupata hizi kauli.
 
FB_IMG_17381239645075069.jpg
vijana wa kileo wanadhani hizi ni pipi
 
Labda mjini vijijini bado ipo kwa sana tu, mjini sahivi sio kama kipindi cha nyuma kwanza watu wanajenga wanaweka bonge la fence ujamaa umebaki vijiwe vya kahawa na mabanda ya mpira
 
Njaa na uchoyo vimetawala na kutamalaki miongoni mwa watanganyika.

Ukienda kwa ndugu hasa wa DAR roho zinawafurukuta wanahisi utawamalizia MAUGALI YAO.

MAUGALI yanafichwa uvunguni mpaka mida ya wanga ndo wanayatoa wanaanza kubugia fasta fasta kama wachawi.

Nyama zimefichwa kwenye SOKSI.

Huwa nashangaa mpaka mdomo unabaki wazi.

Cc: Lamomy cocastic Bolotoba Half american Mbaga Jr Extrovert Poor Brain secretarybird Monetary doctor
Na hii inatokana na kutokulima au kufanya kazi za mikono za uzalishaji
 
Back
Top Bottom