Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ila ilikuwa inatujenga sana katika mshikamanoKila masika na mbu wake
Maisha yamebadilika sanaHatucheki na wowote
Kina kajala ndio kinabibi wa leo anaweza kukazwa tu😋😋Enzi izo Kagiza kameingia tumezunguka moto huku tunachoma either ndizi au mahindi.
Babu anatusimulia hadithi za zamani huku Bibi anapika msosi pale jikoni.
OLD GOOD DAYS
Nyakati hizi, zinapatikana kweli?View attachment 3221116vijana wa kileo wanadhani hizi ni pipi
Sasa hivi imebaki vijiji vichache, wengi wao wanaishi kimjini mjiniMbona ipo huko intiria
Sio rahisi kwasababu tecnolojia imekua sanaNyakati hizi, zinapatikana kweli?
Kama ingewezekana, ni bora kuyarudisha maisha nyumaEnzi izo Kagiza kameingia tumezunguka moto huku tunachoma either ndizi au mahindi.
Babu anatusimulia hadithi za zamani huku Bibi anapika msosi pale jikoni.
OLD GOOD DAYS
Maendeleo hayo mkuuSasa hivi imebaki vijiji vichache, wengi wao wanaishi kimjini mjini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kina kajala ndio kinabibi wa leo anaweza kukazwa tu[emoji39][emoji39]
Na hii inatokana na kutokulima au kufanya kazi za mikono za uzalishajiNjaa na uchoyo vimetawala na kutamalaki miongoni mwa watanganyika.
Ukienda kwa ndugu hasa wa DAR roho zinawafurukuta wanahisi utawamalizia MAUGALI YAO.
MAUGALI yanafichwa uvunguni mpaka mida ya wanga ndo wanayatoa wanaanza kubugia fasta fasta kama wachawi.
Nyama zimefichwa kwenye SOKSI.
Huwa nashangaa mpaka mdomo unabaki wazi.
Cc: Lamomy cocastic Bolotoba Half american Mbaga Jr Extrovert Poor Brain secretarybird Monetary doctor
kumbe gropu za tochi au sioView attachment 3221116vijana wa kileo wanadhani hizi ni pipi