bbahati2012
New Member
- Feb 6, 2013
- 3
- 1
Bunge maalumu mipaka yake inakomea kwenye mamlaka ya wananchi kwa sababu wananchi ndio wenye katiba na ndio wlioto maelekezo kwa Bunge maalum juu ya Katiba waitakayo.
Pamoja na ukweli huo,nasikitika kusema hapa kwamba vyama vya CCM na CHADEMA, tayari vinakwenda kinyumena uhalisia wenyewe. CCM imeweka msimamo kwa wajumbe wake kung'ang'ania muundo waMungano wa Serikali mbili.
CHADEMA nao wameweka msimamo na wabunge wake wa kuwana muundo wa Muungano wa Serikali tatu. Vyama hivivimejipamadaraka makubwa kuliko madaraka waliyonayo wananchi wao.
Vyama hivi vinapaswa kuelewa fika kwambamaoni yaliyotolewa na wananchi sii ya kichama au kiitikadi. Mng'ang'anio huu wa muundo wa Muungano wa Serikali mbili au tatu unaosimamiwa na nyama husika ni wa kijingakwakua Tume ya warioba haikwenda kwa wanahama wanaa kuchukua maoni ya Wana CCM au wanaCHADEMA wengine.
Wala wakati tunatoa maoni yetu hatukuulizwa tunatoka chama gani, vilevile takwimu za wliochangia rasimu ya katiba ambayondio dira kuu ya katiba mpya, haikuonyesha waliochangia wanatoka chama gani chasiasa.
Napenda tuu niwafahamishe wabungewetu hawa wa Bunge la katiba kwamba, ndani ya rasimu hii ambayo ndio sababu yawao kuwepo ndani ya bunge la katiba yapo mambo mengi ambayo yanahitajikujadiliwa na kufikia muafaka.
Mnataka sisi wananchi tuwaelewe kwamba wanaletamalumbano yasiyoisha ili waendelee kupata posho za vikao? Katika hili naona wapowabunge ambao wanahiyari vikao viahirishwe kila siku alimradi posho inaingia.
Pamoja na ukweli huo,nasikitika kusema hapa kwamba vyama vya CCM na CHADEMA, tayari vinakwenda kinyumena uhalisia wenyewe. CCM imeweka msimamo kwa wajumbe wake kung'ang'ania muundo waMungano wa Serikali mbili.
CHADEMA nao wameweka msimamo na wabunge wake wa kuwana muundo wa Muungano wa Serikali tatu. Vyama hivivimejipamadaraka makubwa kuliko madaraka waliyonayo wananchi wao.
Vyama hivi vinapaswa kuelewa fika kwambamaoni yaliyotolewa na wananchi sii ya kichama au kiitikadi. Mng'ang'anio huu wa muundo wa Muungano wa Serikali mbili au tatu unaosimamiwa na nyama husika ni wa kijingakwakua Tume ya warioba haikwenda kwa wanahama wanaa kuchukua maoni ya Wana CCM au wanaCHADEMA wengine.
Wala wakati tunatoa maoni yetu hatukuulizwa tunatoka chama gani, vilevile takwimu za wliochangia rasimu ya katiba ambayondio dira kuu ya katiba mpya, haikuonyesha waliochangia wanatoka chama gani chasiasa.
Napenda tuu niwafahamishe wabungewetu hawa wa Bunge la katiba kwamba, ndani ya rasimu hii ambayo ndio sababu yawao kuwepo ndani ya bunge la katiba yapo mambo mengi ambayo yanahitajikujadiliwa na kufikia muafaka.
Mnataka sisi wananchi tuwaelewe kwamba wanaletamalumbano yasiyoisha ili waendelee kupata posho za vikao? Katika hili naona wapowabunge ambao wanahiyari vikao viahirishwe kila siku alimradi posho inaingia.