sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hahahaa!mbadala ni punguza kilo za ulimi
Hayo ni maono yako mkuumbadala ni punguza kilo za ulimi
Hakuna app isiyotumia data.Leo katika kuchezea chezea simu nimekitana na mitandao ya kujuana, kuwa marafiki, kupeana kampani na hata kutafuta wapenzi...
Uongo...weka pichaHakuna app isiyotumia data.
Tinder imenipa demu mkali sanaaaaaa
Tinder kila demu anajiuza tu, bora wajiite kabisa ma escort unakuta demu mkali anajiuza 20,000Leo katika kuchezea chezea simu nimekitana na mitandao ya kujuana, kuwa marafiki, kupeana kampani na hata kutafuta wapenzi....
Mimi kama mwanaume rijali siwezi kuweka picha ya mwanamke kihivyo .uongo...weka picha
Ukienda kupanga tofali kwenye site yako hizo ni tofali 150 zimeondoka kizembe zembe.Umalaya una gharama Sana
Kulipia mtandao 30k Demu mkali 50k Usafiri Juu yako chakula na malazi 30 kwako ukija kupiga total cost 150K yote hiyo anaenda kuvuna asiyejua kupanda
Ni kweli kabisa mkuu, ni vile huwezi kuweka picha ya mtu yani kuna mademu wakali wanajiuza. Yani asilimia 99 ya mademu niliwahi kuchat nao kule wanajiuza. Yani hadi najiuliza unakuta huyu demu wa mtu hajui kuwa demu wake anajiuza.Mimi kama mwanaume rijali siwezi kuweka picha ya mwanamke kihivyo .
Wewe kama ushawahi kutumia tinder utaelewa ninachokimaanisha
Sijawahi kulipia hata 50 huko tinder ni mwendo wa kulika na kulike back mki match mnaendana... sasa kuna mmoja unaitwa escort kule kuna madada wanajiuza hadi wana mikoko anakufuata tu ulipoUmalaya una gharama Sana
Kulipia mtandao 30k Demu mkali 50k Usafiri Juu yako chakula na malazi 30 kwako ukija kupiga total cost 150K yote hiyo anaenda kuvuna asiyejua kupanda
Gharama ya tendo ni shingapi?Sijawahi kulipia hata 50 huko tinder ni mwendo wa kulika na kulike back mki match mnaendana... sasa kuna mmoja unaitwa escort kule kuna madada wanajiuza hadi wana mikoko anakufuata tu ulipo
Escort gharama zake ni kubwa wana charge kwa lisaa inategemea 30,000 mpaka laki 2.gharama ya tendo ni shingapi?
Ndiyo maana nakwambia umalaya mitandaoni ni gharama kubwa laki 2 acha niruke na hawa akina Halimaescort gharama zake ni kubwa wana charge kwa lisaa inategemea 30,000 mpaka laki 2.
Aaah mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] acha ukorofi.uongo...weka picha
Eti wanajiita maescort hatari tupu.Ndiyo maana nakwambia umalaya mitandaoni ni gharama kubwa laki 2 acha niruke na hawa akina halima
Kwamba muda wotee tujenge 😳😳😳Ukienda kupanga tofali kwenye site yako hizo ni tofali 150 zimeondoka kizembe zembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa pia ni ya kutumia ili u enjoy.Umalaya una gharama Sana
Kulipia mtandao 30k Demu mkali 50k Usafiri Juu yako chakula na malazi 30 kwako ukija kupiga total cost 150K yote hiyo anaenda kuvuna asiyejua kupanda