Hii mitandao ya simu ina matatizo gani?

Hii mitandao ya simu ina matatizo gani?

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Leo nimejaribu kuweka kifurushi cha mtandao wa Vodacom cha shilingi elfu tano, kama GB 2 hivi. Baada ya matumizi ya dakika 45 ya kuperuzi mtandaoni tu, nimetumiwa ujumbe kwamba nimeshatumia asilimia 75% na nimebakiwa na MB 600 tu.

Kiukweli haya ni mauzauza ambayo yamenifanya nibaki nacheka na kushangaa tu. Tatizo ni nini kwenye hii mitandao jamani?

Awamu hii tutaona kila aina ya rangi.
 
Unaweza dhania ni utani ila mie niligombana na Halotel kwa sababu hizo hizo nikakimbilia Voda
Halotel namba moja mkuu mimi Voda Mb800 nafikisha hata siku tatu au Nne na kitu nusu bila YouTube na Insta mwendo wa wasap ,gugo na Jf hata nikiweka Gb2 YouTube naenjoy sana tofauti na Gb2 kwengine.
 
Ngojeni niwape Siri hii. Wabongo wengi hatujui Matumizi ya Simu na Jinsi gani tunaweza Track Internet traffic Zenu za Simu. Mimi. Ninatumia Voda Miaka na Miaka Kwemye Simu yangu huwa nakagua kwa Kwenda Sehemu ya Internet na Kuangalia Data Usage naKuona App gani imekula Bundle langu sana..

Kuliko kuwalalamikia Voda ni vyema Tukakagua kwanza Data Usage na Kujua App. Gani zimekula bundle na Ukipenda Download App zipo nyingi tu za Data Track itakuambia App gani imekula Bundle lako
 
Unaweza dhania ni utani ila mie niligombana na Halotel kwa sababu hizo hizo nikakimbilia Voda
Nilikuwa halotel intermet tupu toka 2013 ila kwa sasa nanyosha mikono angani namna hii [emoji119] kifurushi cha 5000/= wananihudumia 2.8Gb, naweka saa mbili asubuhi saa sita natumiwa ile meseji yao pendwa ya umetumia 75% hapo nipo tu jf, whatsapp na kujib email mbili tatu za hapa na pale,

Nikasema napaswa kuwaelewa hawa wamenibonyezea kitufe cha kunikomoa.

Wanataka iwe hiviii

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kama kifurushi cha 5000 natumia masaa 6 ina maana wanataka nijiunge mara mbili, kwa hiyo kwa siku 10,000


10,000 × 7 = 70,0000 kwa wiki.

70,000 × 4= 280,000 kwa mwezi

280,000 × 12 = 3,960,000 kwa mwaka.
 
Ngojeni niwape Siri hii. Wabongo wengi hatujui Matumizi ya Simu na Jinsi gani tunaweza Track Internet traffic Zenu za Simu. Mimi. Ninatumia Voda Miaka na Miaka Kwemye Simu yangu huwa nakagua kwa Kwenda Sehemu ya Internet na Kuangalia Data Usage naKuona App gani imekula Bundle langu sana..

Kuliko kuwalalamikia Voda ni vyema Tukakagua kwanza Data Usage na Kujua App. Gani zimekula bundle na Ukipenda Download App zipo nyingi tu za Data Track itakuambia App gani imekula Bundle lako
Kuna siku huwa naweka GB 1, nafanya haya matumizi niliyofanya leo hata masaa 12.
 
Mbps; spidi ikiwa kubwa, data nyingi zinatembea; mfano, kama kila sekunde moja inapeleka data 50mb, lazima bando liishe haraka
 
Back
Top Bottom