Hii movie ya Kenya sterling nani?

Hii movie ya Kenya sterling nani?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
_98279451_gettyimages-859312382.jpg


_98266762_d87060db-56d5-4610-8f48-57401e1bfce1.jpg

Serikali nchini Kenya imepiga marufuku maandamano katika maeneo ya katikati mwa miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu.

Kaimu waziri wa usalama Dkt Fred Matiang'i amesema pia kwamba wanaopanga maandamano wanafaa kuwajibishwa kutokana na uharibifu wa mali unaotokea wakati wa maandamano.

Hatua ya Dkt Matiang'i imetokea huku muungano wa upinzani National Super Alliance (Nasa) wake Raila Odinga ukiendelea na maandamano ya kushinikiza mageuzi katika Tume ya Uchaguzi (IEBC).
 
Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
 
Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
Hawana
 
Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
Hivi unajua maana ya ukabila wa Kenya?, hata wahutu na watutsi ni nafuu
 
Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.
We nenda kapalilie mahindi yako mkuu shule yenyewe umeishia darasa la pili utaandamana kwa lipi
 
We nenda kapalilie mahindi yako mkuu shule yenyewe umeishia darasa la pili utaandamana kwa lipi
Mungu ni mwema mkuu, nimebahatika Kusoma, nimesafiri nchi kadhaa duniani, nimesafiri karibu Tanzania yote, Somehow Nina kazi ambayo pengine vijana wenzangu wengi wangetamani kuifikia, Ni kweli pengine huenda kipato sio kikubwa , Sio mbaya nafanya na Kikimo pia kinanisaidia kuongeza kipato walau niweze kumudu kugawana kidogo ninachopata na wanaonitegemea, Not bad anyway...
I am less than 30years old,
 
wanapewa mkate na soda they got nothing to loose
watu na spirit zao za kiuanaarakati it's their choice acha wafanye
 
Tribalism in Kenya is very bad to the extend that during election people are ready to kill each other just because of their tribe men to win election.
Which tribes are you talking about?
can you expound please
 
Hivi hao Vijana wa Kikenya wanafanya maandamano 24/7 ina maana hawana kazi ya kufanya?
Hivi kweli mtu una Mishe zako za kutengeneza mpunga utaingia kwenye maandamano daily kisa unataka Raila awe Rais?
What is the reason for this?
Yaani niache mazao yangu yanaharibika kule shambani nijikite barabarani? Why? And How?? And for what? May be I am damn stupid.

Umesema uache mishe, mashemba na kutengeneza mpunga, wewe unavyo hivyo, una uhakika gani wao wanayo? nafikiri wewe waweza kuwa damn stupid kuliko wao.
 
Ferka, you got nothing to put on the table just go take dump.
you are very correct, I am not a tribalist like you, how can you understand my language?, apart from tribalism what other things in this world do you understand?
 
Back
Top Bottom