Christafari
Senior Member
- Jun 2, 2013
- 117
- 13
hii ni taarifa rasmi ya jeshi la kujenga taifa . kutokana na ufinyu wa muda na uchache wa kambi hakutakuwa na wanafunzi wengine watakao kwenda jkt kwa mwaka huu , hvyo utaratibu wa vyuo utaendelea kama kawaida mpaka mtakapojurishwa vingine baadae wajulishe na wenzio waweza tembelea pia www.jkt.go.tz .