Hii naiita weka tuweke

muhuni unataka uvunje utepe
 
Chai
 
Inaendelea....
 
Angalia yasije kukuta ya RC mtuhumiwa
 
Mzee bana ndiyo lakutuletea hilo sisi wanaume humu hebu badirika mzee baba bolobabake
 
Hiyo sio clean sheet!!! Ni green shit!!

Skimuoa kwa ndoa kubwa kufika ndani binti hana bikra hata moja anafanyaje??

Clean sheet anapiga mizinga kama ya Wa Israel??
🀣🀣🀣🀣🀣😁😁😁
 
weanza kwenda nae kanisani kwao wazoee na wazazi wake ikishindikana kabisa tafta masela ukajitambulishe afu ukishapiga unatembea
 
Kapime kama anayo hospitali ipo kama hana na anamaujanja yake ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…