GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Utafiti mpya unaeleza kuwa tabia ya kuweka akiba haitakuacha tu na pesa taslimu bali kunaweza kukusaidia kulala vizuri pia.
-
Kuhifadhi pesa kiasi kidogo tu mara kwa mara, kunaweza kuboresha afya ya akili, watafiti katika Chuo Kikuu cha Bristol nchini Uingereza wanasema.
-
Watu wa kipato cha chini wanaoweka akiba mara kwa mara wana viwango sawa vya kuridhika kimaisha na matajiri wasioweka akiba, waliongeza.
-
Hata hivyo, kuweka akiba imekuwa ngumu katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na kupanda kwa kasi kwa bei za vyakula na huduma.
Chanzo: bbcswahili
Na siyo tu nilikuwa silali kama Mlinzi wa Godauni Kiwalani, ila hata Kubandua nilikuwa najitafuta sana hadi Wazungu waje, ila Kudadadeki tokea nianze kuzikamata na hata kuwa na Jeuri ya kuweka katika Akaunti Laki Tano hadi Milioni hakuna Mbunye isiyojuta Kukutana nami hata kama zikiwa 5 kwa wakati Mmoja.
Asikudanganye Mtu Pesa ndiyo kila Kitu hivyo kama ukipata bahati ya kuzipata tafadhali jitahidi Kuzitunza sana Oky?
-
Kuhifadhi pesa kiasi kidogo tu mara kwa mara, kunaweza kuboresha afya ya akili, watafiti katika Chuo Kikuu cha Bristol nchini Uingereza wanasema.
-
Watu wa kipato cha chini wanaoweka akiba mara kwa mara wana viwango sawa vya kuridhika kimaisha na matajiri wasioweka akiba, waliongeza.
-
Hata hivyo, kuweka akiba imekuwa ngumu katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na kupanda kwa kasi kwa bei za vyakula na huduma.
Chanzo: bbcswahili
Na siyo tu nilikuwa silali kama Mlinzi wa Godauni Kiwalani, ila hata Kubandua nilikuwa najitafuta sana hadi Wazungu waje, ila Kudadadeki tokea nianze kuzikamata na hata kuwa na Jeuri ya kuweka katika Akaunti Laki Tano hadi Milioni hakuna Mbunye isiyojuta Kukutana nami hata kama zikiwa 5 kwa wakati Mmoja.
Asikudanganye Mtu Pesa ndiyo kila Kitu hivyo kama ukipata bahati ya kuzipata tafadhali jitahidi Kuzitunza sana Oky?