Kama kawaida yao leo wameitisha press na kutoa takwimu za kupika.Hii imekuja baada ya kuona wanazidiwa katika mchakato wa nani zaidi.
Utopolo hawishiwi maneno lakini ni wazi tu hawana mashabiki na wapenzi wengi kama ilivyo Simba.
Kama Simba wangekuja na mpango wa kuuza kadi za uanachama kwa njia rahisi madhani wasingeamini watu watakaonunua jinsi walivyo wengi.
Hii ya nani zaidi kuna watu bado hawajaifahamu maana wengi tulikuwa kazini wakati inatangazwa.Inabidi tangazo liwepo Mara kwa mara social media ili kila mtu limfikie
Utopolo hawishiwi maneno lakini ni wazi tu hawana mashabiki na wapenzi wengi kama ilivyo Simba.
Kama Simba wangekuja na mpango wa kuuza kadi za uanachama kwa njia rahisi madhani wasingeamini watu watakaonunua jinsi walivyo wengi.
Hii ya nani zaidi kuna watu bado hawajaifahamu maana wengi tulikuwa kazini wakati inatangazwa.Inabidi tangazo liwepo Mara kwa mara social media ili kila mtu limfikie