Press ya kutambulisha project ya nani zaid manara alisema"sisi yanga tuko wengi,tumechukua ubingwa mara nyingi kuliko club yoyote,msimu huu tumechukua makombe yote so hatuna sababu ya kushindwa kwenye hii project ya nani zaidi" Baada ya kuona anaelekea kushindwa akasema...mo ameingilia kati kwa kuchangia simba wala sio washabiki.Manara alikuwa mtu hatari sana pale simba..asente Babra Gozales
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.