Hii nani zaidi utopolo lazima waitishe press conference nyingi sana

Ushindi pekee uliobaki kwa Makolo msimu huu dhidi ya Yanga ni kushinda hii chalenge ya "Nani Zaidi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna muda lazima tuzungumze michezo na sio ushabiki kila muda
 
[emoji3][emoji3][emoji3] na wewe unamquote Manara,lakini naona umeshindwa kuquote pale aliposhindwa kutoa ufafanuzi wa 1.7bn imepatikanaje.Msemajj hajui hata tofauti ya 1.07bn na 1.7bn.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] na wewe unamquote Manara,lakini naona umeshindwa kuquote pale aliposhindwa kutoa ufafanuzi wa 1.7bn imepatikanaje.Msemajj hajui hata tofauti ya 1.07bn na 1.7bn.
Hili ni tatizo la numbers..... Hata Mimi ninalo sana
 
Wawekezaji waheshimiwe !

Kupitia kampeni za 'NANI ZAIDI', Simba kuchangia pesa kujenga uwanja, Yanga kujiandikisha kidigigitali,, Picha halisi ni aina gani ya mashabiki waliopo kwenye vilabu vya Simba na Yanga imeonekana.

Katika zoezi la nchi nzima la kuchangisha pesa kujenga uwanja, ndani ya miezi (6) Simba SC walikusanya Tsh 60 Milioni !

Katika wiki moja tangu kampeni ya NANI ZAIDI izinduliwe, pesa zilizokusanywa nchi nzima hazitoshi hata kumnunua George Mpole !! Wakati kama mashabiki Milioni 1 tu kati ya watu Milioni (60) nchini wangetoa bukubuku klabu zingepata Tsh 1 BILIONI.

Halafu ukiwakuta mashabiki hao wanabishana vijiweni utasikia 'Mo Dewji, GSM watuachie timu zetu" wakati hata Tsh Mia mbovu hawachangii.

Safari moja tu ya Nigeria 🇳🇬 kwenda na kurudi kwenye Mchezo wa klabu bingwa Africa dhidi ya Rivers Utd GSM alitoa Tsh 700 Milioni including kukodi ndege Boing 787-8 ✈️

Safari moja ya kwenda mkoani kwenye mechi inagharimu si chini ya Tsh 250+ Milioni,, Piga hesabu ni safari ngapi wamefanya kwa msimu !!!

Mishahara ya Wachezaji takribani (8) inaanzia Tsh 8 Milioni hadi Tsh 13 Milioni kwa kila mchezaji kwa mwezi mmoja, achilia mbali wanaolipwa Tsh Milioni 7, 6, 5 kwa mwezi nk.....

Kwa msimu GSM anatoa Tsh ngapi kwa mishahara tu including na wafanyakazi wengine wa klabu ?!!

Klabu ya Yanga inaishi moja ya kambi bora kabisa East Africa AVIC TOWN, kwa msimu GSM analipa Tsh 1+ BILIONI.

▪️Wamekodi nyumba 15
▪️Kila nyumba kodi (1+) Milioni
▪️Gharama za maji & Umeme.
▪️Gharama za Gym nk.....

Achilia mbali mamilioni ya pesa za usajili kuwaleta kina Djuma Shabani, Mayele, Bangala nk ....

Bajeti ya kuendesha klabu kwa msimu GSM anatoa takribani Tsh 6+ BILIONI.
.
.
Wapo watakaosema mbona anauza jezi ?!.... Ukitembea mtaani robo (3) ya jezi zilizovaliwa ni FEKI, It means pesa hiyo anaikosa.

Kama tunavyojuana Watanzania, mtu anaacha kununua jezi original ya Tsh 25 elfu anaenda kununua jezi feki ya Tsh 15 elfu bila kujua anaikosesha mapato timu yake na muwekezaji wake.

Inshort hawa matajiri waliowekeza kwenye vilabu vyetu 🇹🇿 WANAWEKEZA kwa mapenzi binafsi tu na timu na sio kwamba wanapata sana faida.

Kinachowavutia zaidi ni vitu (2)

1 - Wingi wa mashabiki

....Ambao wengi wao hawazisaidii timu, wao wanajua kulalamika tu timu ikifanya vibaya lakini ukiwaambia nendeni uwanjani hawaendi, jiandikisheni kidijitali hawajiandikishi, changieni uwanja Bunju, hawataki.

2 - Mapenzi binafsi na timu.

Wawekezaji waheshimiwe na walindwe 🙌
 
michango ya wanachama hata haifiki hela aliyowekeza vunja bei kwenye jezi. Mashabiki wa Simba na Yanga hela zao ni kwenye viingilio tu
 
Unavyoongea hapa mtu hawezi dhani kuwa mmekusanya milioni 60 miezi mitatu, tena hata data hamna ni mmepewa kwa kauli tu [emoji1787][emoji1787]
 
Hili ni tatizo la numbers..... Hata Mimi ninalo sana
Kwa Msemaji wenu hapana,yule hajui kabisa numbers.Alitaka kujichanganya zaidi kwa kutoa breakdown ya hiyo 1.7bn Senzo akajua hapa mtu anakwenda kuumbuka akamuwahi [emoji3]
 
Haya yote ni maneno ya msejami kwakuwa wanamuweka yeye mwenyewe mjini.Tunajua mtaji wa Manara ni mdomo wake.Hapo GSM anasikia raha sana anakwenda kulipia tena 6months house rent ya semaji[emoji3]
 
Kwa Msemaji wenu hapana,yule hajui kabisa numbers.Alitaka kujichanganya zaidi kwa kutoa breakdown ya hiyo 1.7bn Senzo akajua hapa mtu anakwenda kuumbuka akamuwahi [emoji3]
Aya sawa
 
Haya yote ni maneno ya msejami kwakuwa wanamuweka yeye mwenyewe mjini.Tunajua mtaji wa Manara ni mdomo wake.Hapo GSM anasikia raha sana anakwenda kulipia tena 6months house rent ya semaji[emoji3]
Sawa sawa
 
Nimeiona sehemu ya press, inaonekana dhahiri ile Nani Zaidi ndio imemtoa povu, maana hadi anagonga meza. Pengine hakutarajia hiyo tofauti inayoendelea, so alichofanya ni kuamua kuja kufunika kwa mradi wa wanachama ambao ulikuwepo hata kabla ya huu wa Nani Zaidi. Kama huu mradi usingekuwa wa wadhamini Azam Media, naamini kwa hasira zile za Manara, Yanga wangejitoa
 
Simba tupewe tu hili kombe letu la Nani zaidi? Tumekaa kwenye msimamo kwa muda mrefu sana.......Huku juuu baridi ni Kali sana
 
Simba tupewe tu hili kombe letu la Nani zaidi? Tumekaa kwenye msimamo kwa muda mrefu sana.......Huku juuu baridi ni Kali sana
Wewe jamaa utakuwa unauza [emoji477] kahawa [emoji23][emoji23][emoji23] safari ya kwenda na kurudi jimbo la delta Nigeria ni m 700!![emoji23][emoji23] Na safari moja ya kwenda mkoani ni m 250!!ili aisee nchi hii ina porojo mno,unaandika kwa confidence kabisa!!kweli wenye akili wakinyamaza,wajinga wenye confidence wanatamba!!!
 
Kolo Bwana.Unapika vipi Taarifa ambazo serikali wanakata Kodi.Hiyo siyo Siri ukitaka nenda kwenye mifumo ya serikali utapata Taarifa kamili.Acha uzushi na kudanganya watu.Kelele za ubingwa mmeacha baada ya kuona mmelala dolo mmeamua kuamishia umbeya kwenye mambo yenye data na ushahidi kamili.Kolo ni kolokolo hovyo sana


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Aya sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…